medisonmuta
JF-Expert Member
- Oct 10, 2014
- 2,324
- 1,287
Vyombo vya habari vya magharibi vimeshakuharibu.mmmh wenzetu wakitaka kujilipua utaja ilo jina
Vyombo vya habari vya magharibi vimeshakuharibu.mmmh wenzetu wakitaka kujilipua utaja ilo jina
Yalikuwa ......Wakati waislam mkipewa majengo ya serikali, Wakristo wanaipa serikali majengo!
Shule na ofisi nyingi za serikali yalikuwa majengo ya kanisa kabla/baada ya uhuru.
Acha unafiki mmepewa maeneo mengi tuHatujawahi kupewa na hatuhitaji tutatumia nguvu zetu wenyewe nyiee endeleeni na huo Mpango wenu wa viti maalumu.
Mumtaarifu tu mgeni rasmi kuwa juzuu mwisho 30, asije akagawa zawadi kwa mshindi wa kwanza na kutoa maelekezo kuwa ajitahidi ili mwakani ahifadhi juzuu 40
Mbona akina Jaffo, Majaliwa, Kijaji na wengine wengi tu ni waislamu, kinachaangaliwa ni uwezo tu, angekuwa mbaguzi asingemwomba mfalme wa Morrocco kujenga makao makuu ya BakwataAache kuwabagua waislamu kwenye teuzi zake la sivyo atafanya mambo yake yatakuwa hayaendi, atakuwa hafanikishi mipango yake.
Dua za Waislamu ni nzito, zinatisha!
Acha unafiki mmepewa maeneo mengi tu
Nimefika mpendwa
Haya kazi kwako Ku angalia speech ya mzee wakoNimefika mpendwa
Mbona akina Jaffo, Majaliwa, Kijaji na wengine wengi tu ni waislamu, kinachaangaliwa ni uwezo tu, angekuwa mbaguzi asingemwomba mfalme wa Morrocco kujenga makao makuu ya Bakwata
Umewaza jambo zuri sana, kwani Wakristo walio hawasomi Biblia,.. Mchungaji ndio anakuwa msomaji.. inafika wakati Hawa Wachungaji huwa wanawadanganya Waumini wao,kwa jina Yusu Mchungaji anaweza hata kuwanywisha Wafuasi wake Jick kwa kuwapngopea Jick inatoa Mapepo!! 🤣🤣Nimekaa nikafikiri ikabidi nije na mpango wa kuwahifazisha watoto wa kikiristu biblia nzima , then mpango wa mashindano ya kuhifadhi kitabu hicho utaanza baadae ili wasibaki kukishika tu mikononi wakati wa kwenda kanisani.
Nipo tayari kwa masahihisho
MGENI RASMI NI RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA DR. JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI.
WENGINE NI MARAIS WASTAAFU, MWINYI NA KIKWETE.
WAZIRI MKUU NAYE YUPO
======
Mhe. Rais Magufuli atahutubia katika Uwanja Mkubwa wa Taifa Jijini Dar es Salaam muda mfupi ujao. Ni Mgeni Rasmi katika Mashindano Maalum ya 20 ya Qur'aan Tukufu Afrika. Fuatilia Redio, Televisheni na Mitandao.
View attachment 1102093
View attachment 1101980View attachment 1101982View attachment 1101985
View attachment 1101989
Acha uchochezo wewe na udini. Huo ni udini uteuzi hatuangalii dini,,Tunaangalia vitu vingi mnooo ..Mdini saana wewe.Aache kuwabagua waislamu kwenye teuzi zake la sivyo atafanya mambo yake yatakuwa hayaendi, atakuwa hafanikishi mipango yake.
Dua za Waislamu ni nzito, zinatisha!
una mashaka na werevu wa kishki??Kama atakuwa mwerevu
Umeamua kuleta hoja za matusi Mimi sio mkiristo Mimi ni muislamu halisi sasa unahisi Mimi ni kafiri sio basi sina cha kukujibu mola akuongoze uache tabia za kIKAFIRI.Ikitokea Ukalawitiwa na Said inakuwa
umelawitiwa na Uislam?
Kishki akimsifia Mtu inakuaje useme
Uislam umemsifia fulani?
na kwanza kuna ubaya gani kumsifia mtu, ama ni bidaa ama haramu kumsifia mtuIkitokea Ukalawitiwa na Said inakuwa umelawitiwa na Uislam?
Kishki akimsifia Mtu inakuaje useme Uislam umemsifia fulani?