GIRITA
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 4,134
- 5,249
Mimi mwenyewe ni muislam usifikiri Mimi ni kafiri kwa andiko.Mbona Waislam unawafanya kam
a less-human? Kama tabaka lililo jit
enga na jamii nyingine? Wajipendek
eze kwa mapungufu yapi? Au imani yao ndo kosa? Mimi ni mkristo lakini sipe
ndi kuchukuliana utabaka kwa imani
zetu. Ee Mwenyezi Mungu tusamehe kwa dhambi hii ya ubaguzi.