Mathanzua
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 15,858
- 20,712
Alishasema,ukizembea atakutumbua.Uzembee halafu uachwe au uhamishwe,no way.That is history.Huwezi kazi uliyoteuliwa kuifanye kajitafutie shuhuli nyingine.Hapa kinachoangaliwa ni kazi,huna output kule!Kwa hiyo unataka uteuzi ufanywe kimya kimya,anaogopwa nani.Akili zingine bwana,dah.Kila siku teuzi tu tumeshachoka!!
Yaani uteuzi unatangazwa live, alafu Bunge liko gizani na wajinga wanaamini huu ndio uongozi unaotufaa!!