Easy Chair Mark III
JF-Expert Member
- Aug 19, 2019
- 897
- 1,368
Hivi ni KWA nini miaka yote marais huwa wanawateua Watu wazee, vibibi NA vibabu kwenda kuwa Mabalozi huko nje ya nchi???
Ina maana hakuna vijana wenye sifa ya kuweza kuteuliwa kuwa mabalozi??
Hivi vizee vinavyoteuliwa kuja kuwa mabalozi huko nje ya nchi vingi vina roho mbaya sana, vinatusumbua sana sisi Watanzania tunaoishi nje ya Tz wakati tunapokwenda kwenye Balozi za nchi yetu kufuata huduma.
Yaani unapofika ktk ofisi za Ubalozi wa Tz kufuata huduma unakiona kibabu au kibibi kimekunja sura KWA roho mbaya utadhani mbogo. Vizee hivi vingi bado vina mawazo ya UJIMA, wakimuona Mtanzania yoyote huko nje ya nchi wao wanamuhesabia kuwa ni Mzurulaji.
Tunaomba Rais awe anawateua vijana kuwa Mabalozi ambao wana mawazo mapya ya kisasa, yanayokwenda NA wakati, aache kuwateua vizee vilivyochoka mwili NA AKILI.
Ina maana hakuna vijana wenye sifa ya kuweza kuteuliwa kuwa mabalozi??
Hivi vizee vinavyoteuliwa kuja kuwa mabalozi huko nje ya nchi vingi vina roho mbaya sana, vinatusumbua sana sisi Watanzania tunaoishi nje ya Tz wakati tunapokwenda kwenye Balozi za nchi yetu kufuata huduma.
Yaani unapofika ktk ofisi za Ubalozi wa Tz kufuata huduma unakiona kibabu au kibibi kimekunja sura KWA roho mbaya utadhani mbogo. Vizee hivi vingi bado vina mawazo ya UJIMA, wakimuona Mtanzania yoyote huko nje ya nchi wao wanamuhesabia kuwa ni Mzurulaji.
Tunaomba Rais awe anawateua vijana kuwa Mabalozi ambao wana mawazo mapya ya kisasa, yanayokwenda NA wakati, aache kuwateua vizee vilivyochoka mwili NA AKILI.