kwani kakataa kuwa alikuwa hataki gesi bure? Haijaongelewa so you cannot kataa. Pili hilo siyo mgogoro mkubwa bali ni ule wa kusema anafunga kiwanda kashaongea na Kenya kuhusu kuhamisha hayo BAVICHA hamkwepi?Waziri Mwijage akiri serikali ilikuwa inaficha: Dangote wanataka gesi ya bure, hawatawapa
Waziri Mwijage akiri serikali ilikuwa inaficha: Dangote wanataka gesi ya bure, hawatawapa