Rais Magufuli aanika sababu ya 'kutumbua' Mambo ya Ndani. Waziri Simbachawene apewa 'kazi maalum' ya kuanza nayo

Petro E. Mselewa

JF-Expert Member
Dec 27, 2012
10,197
25,517
Katika hafla ya kuwaapisha Mawaziri wawili na Mabalozi watatu aliowateuwa hivi karibuni Ikulu Dar es Salaam, Rais Dr. John Pombe Magufuli ameanika sababu ya kutengua uteuzi wa Waziri wa Mambo ya Ndani.

Rais Magufuli ameonyesha na kukiri kuumizwa na 'ubovu' wa mkataba uliosainiwa ambao ulitanguliwa na usiri mkubwa pamoja na kila dalili za rushwa na kuhongwa kwa wahusika. Wahusika walikuwa wakipokea fedha za kimarekani wakati wa vikao vyao n hata kulipiwa malazi yao.

Rais Magufuli amesikitishwa na kutokuwa na taarifa ya mkataba huo tangu mwanzo hadi alipoombwa kuidhinisha jambo ambalo hakuwa akilifahamu na ambalo halikuwahi kuwasilishwa kwenye kikao chochote cha Baraza la Mawaziri. Mkataba husika una thamani ya zaidi ya shilingi trilioni moja.

Katika kuweka sawa jambo hilo la kimkataba, Rais Magufuli amemkabidhi nyaraka maalum Waziri wa Mambo ya Ndani George Simbachawene ili aweze kuanzia kufanya kazi huku Rais Magufuli akiukataa mkataba uliosainiwa na utekelezaji wake. Waziri ameagizwa kuona namba ya kuondokana na mkataba huo.

Rais Magufuli amesema kuwa Naibu Waziri hakuwa anajua kwa undani kuhusu jambo hilo ingawa alikuwa akipata madokezo na alitakiwa kutoa taarifa juu ya kilichomo kwenye madokezo hayo mapema. Rais akasema kuwa Naibu Karibu Mkuu wa Mambo ya Ndani najua jambo hilo kuanzia mwanzo hadi mwisho wake.

Kimsingi, nipo pamoja na Rais wangu Magufuli kwenye vita dhidi ya rushwa na ufisadi. Mambo haya yamelitesa kwa muda mrefu sana taifa letu hasa kwenye kuzalisha kesi za hovyohovyo na zenye kuligharimu pakubwa taifa letu ndani na nje ta nchi yetu. Viva Magufuli!
 
It seems like he know everything! So why didn't he Stop them from going further more? Je hii sio kutafta public sympathy? Kibali cha kutoka nje ya nchi si anatoa yeye? How comes waende nje ya nchi asijue? This man is lying in the other side...sitaki kuamini hata kidogo!.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kwamba alitoa kibali bila kujua walichokua wanaenda kufanya, tena viongozi waandamizi akiwemo waziri, wakasafiri kwenda nje kusaini mou bila mkuu kujua wanaenda kufanya shughuli gani. Vituko.
 
Concern yetu ni kwamba kutumbuliwa kwake ndio mkataba hauendelei ama unaendelea?

Pia alisema hakubaliani na huo mkataba sababu yanaenda kununuliwa mavitu ya ajabu sijui drones sijui nini nini? Swali ni je hayo yanayoenda kununuliwa yana tija kwa taifa ama hapana?

Kingine ambacho tunapaswa kuwekwa wazi sisi raia ni kwenye huo mkataba dhamana ilikuwa nini? Maana rasilimali zetu zimetumbuliwa sana kama dhamana kwenye mikataba ya ajabu ajabu.



Unforgetable
 
Katika hafla ya kuwaapisha Mawaziri wawili na Mabalozi watatu aliowateuwa hivi karibuni Ikulu Dar es Salaam, Rais Dr. John Pombe Magufuli ameanika sababu ya kutengua uteuzi wa Waziri wa Mambo ya Ndani.

Rais Magufuli ameonyesha na kukiri kuumizwa na 'ubovu' wa mkataba uliosainiwa ambao ulitanguliwa na usiri mkubwa pamoja na kila dalili za rushwa na kuhongwa kwa wahusika. Wahusika walikuwa wakipokea fedha za kimarekani wakati wa vikao vyao n hata kulipiwa malazi yao.

Rais Magufuli amesikitishwa na kutokuwa na taarifa ya mkataba huo tangu mwanzo hadi alipoombwa kuidhinisha jambo ambalo hakuwa akilifahamu na ambalo halikuwahi kuwasilishwa kwenye kikao chochote cha Baraza la Mawaziri. Mkataba husika una thamani ya zaidi ya shilingi trilioni moja.

Katika kuweka sawa jambo hilo la kimkataba, Rais Magufuli amemkabidhi nyaraka maalum Waziri wa Mambo ya Ndani George Simbachawene ili aweze kuanzia kufanya kazi huku Rais Magufuli akiukataa mkataba uliosainiwa na utekelezaji wake. Waziri ameagizwa kuonana namba ya kuondokana na mkataba huo.

Rais Magufuli amesema kuwa Naibu Waziri hakuwa anajua kwa undani kuhusu jambo hilo ingawa alikuwa akipata madokezo na alitakiwa kutoa taarifa juu ya kilichomo kwenye madokezo hayo mapema. Rais akasema kuwa Naibu Karibu Mkuu wa Mambo ya Ndani najua jambo hilo kuanzia mwanzo hadi mwisho wake.

Kimsingi, nipo pamoja na Rais wangu Magufuli kwenye vita dhidi ya rushwa na ufisadi. Mambo haya yamelitesa kwa muda mrefu sana taifa letu hasa kwenye kuzalisha kesi za hovyohovyo na zenye kuligharimu pakubwa taifa letu ndani na nje ta nchi yetu. Viva Magufuli!
kwani lini wewe ulikuwa upande tofauti na Magufuli bwana Petro? Kachukue buku saba yako pale lumumba na pia waambie Jamii Forum tumemkumbuka Kawe Alumni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
It seems like he know everything! So why didn't he Stop them from going further more? Je hii sio kutafta public sympathy? Kibali cha kutoka nje ya nchi si anatoa yeye? How comes waende nje ya nchi asijue? This man is lying in the other side...sitaki kuamini hata kidogo!.

Sent using Jamii Forums mobile app


Haujui Kiingereza, grammatical errors nyingi sana kwenye sentensi chache ulizoandika.
 
Katika hafla ya kuwaapisha Mawaziri wawili na Mabalozi watatu aliowateuwa hivi karibuni Ikulu Dar es Salaam, Rais Dr. John Pombe Magufuli ameanika sababu ya kutengua uteuzi wa Waziri wa Mambo ya Ndani.

Rais Magufuli ameonyesha na kukiri kuumizwa na 'ubovu' wa mkataba uliosainiwa ambao ulitanguliwa na usiri mkubwa pamoja na kila dalili za rushwa na kuhongwa kwa wahusika. Wahusika walikuwa wakipokea fedha za kimarekani wakati wa vikao vyao n hata kulipiwa malazi yao.

Rais Magufuli amesikitishwa na kutokuwa na taarifa ya mkataba huo tangu mwanzo hadi alipoombwa kuidhinisha jambo ambalo hakuwa akilifahamu na ambalo halikuwahi kuwasilishwa kwenye kikao chochote cha Baraza la Mawaziri. Mkataba husika una thamani ya zaidi ya shilingi trilioni moja.

Katika kuweka sawa jambo hilo la kimkataba, Rais Magufuli amemkabidhi nyaraka maalum Waziri wa Mambo ya Ndani George Simbachawene ili aweze kuanzia kufanya kazi huku Rais Magufuli akiukataa mkataba uliosainiwa na utekelezaji wake. Waziri ameagizwa kuonana namba ya kuondokana na mkataba huo.

Rais Magufuli amesema kuwa Naibu Waziri hakuwa anajua kwa undani kuhusu jambo hilo ingawa alikuwa akipata madokezo na alitakiwa kutoa taarifa juu ya kilichomo kwenye madokezo hayo mapema. Rais akasema kuwa Naibu Karibu Mkuu wa Mambo ya Ndani najua jambo hilo kuanzia mwanzo hadi mwisho wake.

Kimsingi, nipo pamoja na Rais wangu Magufuli kwenye vita dhidi ya rushwa na ufisadi. Mambo haya yamelitesa kwa muda mrefu sana taifa letu hasa kwenye kuzalisha kesi za hovyohovyo na zenye kuligharimu pakubwa taifa letu ndani na nje ta nchi yetu. Viva Magufuli!
mkuu, wameswekwa gereza gani hao wezi tukapige chabo?
 
Inaonekana huyu rais amekosea tangu kwenye uteuzi wake.

Ndiyo maana mawaziri wake wamemdharau hivyo.

Na zaidi, uongozi mzuri ni uongozi wa mfano.

Haitakiwi rais aliye kinara wa kufanya manunuzi bila kufuata utaratibu, bajeti ya bunge, tenda etc, awawajibishe mawaziri wanaofanya hivyo hivyo.

Hawa mawaziri si wanaiga mfano wa rais tu?
 
Nimesikia anamlaumu katibu mkuu kua alikua anajua kila kitu toka mwanzo hadi mwisho ila ajabu anamlaumu waziri na ajabu zaidi kamteua huyo katibu mkuu kua balozi.

Yaani mtu anaetuhumiwa kuhusika live na mchakato mzima bado anateuliwa kua balozi.
Acha kudanganya wewe. Kasema Naibu Katibu mkuu na siyo Katibu mkuu.
 
Back
Top Bottom