Preta JF-Expert Member Joined Nov 28, 2009 Posts 24,320 Reaction score 18,884 May 20, 2010 #1 Nadhani rais anahutubia viongozi wa dili live saa hii, kwa nyie wadau mnaoangalia mnaweza kutujulisha nini kinaendelea...asanteni
Nadhani rais anahutubia viongozi wa dili live saa hii, kwa nyie wadau mnaoangalia mnaweza kutujulisha nini kinaendelea...asanteni
Genekai R I P Joined Feb 9, 2010 Posts 12,514 Reaction score 5,006 May 20, 2010 #2 Nilisoma kwenye net last week si ndo alikuwa na mkutano nao? Nadhani atakuwa anajaribu kuwapa makanyo wasimchafua wakati wa kampeni!
Nilisoma kwenye net last week si ndo alikuwa na mkutano nao? Nadhani atakuwa anajaribu kuwapa makanyo wasimchafua wakati wa kampeni!
Anyisile Obheli JF-Expert Member Joined Dec 13, 2009 Posts 3,402 Reaction score 320 May 20, 2010 #3 sa si anghutubia Watanzania waoote kwa pamoja kwa wanaongozwa na Roho wawe makini na roho zidanganyazo,
sa si anghutubia Watanzania waoote kwa pamoja kwa wanaongozwa na Roho wawe makini na roho zidanganyazo,