Preta JF-Expert Member Nov 28, 2009 24,323 18,793 May 20, 2010 #1 Nadhani rais anahutubia viongozi wa dili live saa hii, kwa nyie wadau mnaoangalia mnaweza kutujulisha nini kinaendelea...asanteni
Nadhani rais anahutubia viongozi wa dili live saa hii, kwa nyie wadau mnaoangalia mnaweza kutujulisha nini kinaendelea...asanteni
Genekai R I P Feb 9, 2010 12,517 4,987 May 20, 2010 #2 Nilisoma kwenye net last week si ndo alikuwa na mkutano nao? Nadhani atakuwa anajaribu kuwapa makanyo wasimchafua wakati wa kampeni!
Nilisoma kwenye net last week si ndo alikuwa na mkutano nao? Nadhani atakuwa anajaribu kuwapa makanyo wasimchafua wakati wa kampeni!
Anyisile Obheli JF-Expert Member Dec 13, 2009 3,398 319 May 20, 2010 #3 sa si anghutubia Watanzania waoote kwa pamoja kwa wanaongozwa na Roho wawe makini na roho zidanganyazo,
sa si anghutubia Watanzania waoote kwa pamoja kwa wanaongozwa na Roho wawe makini na roho zidanganyazo,