Mareth
JF-Expert Member
- Dec 9, 2017
- 341
- 571
Hizo ambazo ungechangia huko naziomba mimi ili nizitumie kulegezea vyuma kwa siku mbili tatu hiziAngenitaja ningetoa lazima.
labda aliona zimetosha.
Hizo ambazo ungechangia huko naziomba mimi ili nizitumie kulegezea vyuma kwa siku mbili tatu hiziAngenitaja ningetoa lazima.
labda aliona zimetosha.
Anayaweka maisha yake pabaya sana, maana Mijambazi nayo ishajuwa msafara wake unaambatana na hela, hatari sana, kwani ikiwa ni Open Chq kutakuwa na ubaya gani?!Labda baba Mwenye nyumba Hana limit ya kutembea n'a mijihela
Ova
Wadau,
Hii ni sahihi?
Katibu wa Rais Ngusa Samike akikabidhi kiasi cha Shilingi milioni 60 kwa Kaimu Rais wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT) Leah Ulaya kutekeleza ahadi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli aliyoitoa hapo jana mara baada ya kuendesha harambee ya papo kwa papo ambapo kiasi hicho cha fedha kilipatikana.
Wadau,
Hii ni sahihi?
Katibu wa Rais Ngusa Samike akikabidhi kiasi cha Shilingi milioni 60 kwa Kaimu Rais wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT) Leah Ulaya kutekeleza ahadi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli aliyoitoa hapo jana mara baada ya kuendesha harambee ya papo kwa papo ambapo kiasi hicho cha fedha kilipatikana.
Huko mfukoni kwake ziliingia kutoka wapi kama sio serikalini?hizo hela zilitoka mfukoni mwa magufuli au serikalini?
Sahihi mbona biko wanafanyaga hivyo
I thought you had an agenda; kumbe upuuzi. Mbona hujahoji fedha alizochangisha kanisani na kukabidhi kwa kanisa. Huu ni ujinga wa degree ya juu sana. Kachangisha fedha; zimepatikana lazima akabidhi ulitaka akukabidhi wewe.Wadau,
Hii ni sahihi?
Katibu wa Rais Ngusa Samike akikabidhi kiasi cha Shilingi milioni 60 kwa Kaimu Rais wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT) Leah Ulaya kutekeleza ahadi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli aliyoitoa hapo jana mara baada ya kuendesha harambee ya papo kwa papo ambapo kiasi hicho cha fedha kilipatikana.
Hazjatoka kwa MTU m1 Hapo RAIS katoa mil 10Huu ni utakatishaji fedha! Ni benki gani ilimruhusu huyu mtu ku-drawal cash fedha yote hiyo? Na kwa nini anatembea na mabulungutu yote hayo?
Kwa watu mbalimbali. Mpaka mama alicjanga mil. 1 na wa waziri mkuu naye 1m. Ilikuwa harambee.hizo hela zilitoka mfukoni mwa magufuli au serikalini?
Vyuma Vikibana wekeni grease visivunjikeBaadhi ya waTZ bhana mkiona picha za noti... Mmmh!! roho huwatoka sana!!
Hizo ni za wastahiki zimetolewa na mstahili kuwa lenga wastahamili....!!!
Wangekuwa wanalipwa vizuri kusingekuwa na sababu ya kuwachangia. Maskini ndiyo huwa wanachangiwa!!Hizi pesa si kwamba zilichangwa na viongozi mbali mbali hadi kufika mil 60 ambapo yeye alitoa mil 10,waziri mkuu 10,mawaziri wenine eg Mhagama na Ndalichako 6 kwa kila mmoja na wenginwo hadi wa mikoa si kwamba Rais katoa 60 zote yeye pekeee na alidai za chakula kwa walim na wanafunzi wa chuo kikuu wanualim waliokua pale.
Wadau,
Hii ni sahihi?
Katibu wa Rais Ngusa Samike akikabidhi kiasi cha Shilingi milioni 60 kwa Kaimu Rais wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT) Leah Ulaya kutekeleza ahadi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli aliyoitoa hapo jana mara baada ya kuendesha harambee ya papo kwa papo ambapo kiasi hicho cha fedha kilipatikana.
......Kwani kuna sheria gani au utaratibu gani umevunjwa wewe Bawacha?
Wewe ni mmoja ya waandishi wapumbavu