Rais Kikwete ziarani Marekani na Canada - Oktoba 01, 2012

KLKUNA WATU AMABAO WATAULIZWA PESA ZA MAFISADI LAKINI MH WANGU LAZIMA MUNGU AMUULIZE HIZI SAFARI AMETOA PESA WAPI JAMANI KABISA KABISA .....KAMA NDIO CHAGUO LA MUNGU MUNGU AHIMIDIWE KWA SAFARI HIZI
 
Kama alihutubia aliongelea Daudi Mwangosi, kama hakumuongelea basi hakuhutubia maana nachijua mie hutuba ya mwisho wa mwezi lazima ibebe matukio mhimu ya mwezi huo na solution zake na sio blabla
 
nadhani sio yeye peke yake ambae yuko newyork kwa sasa,ukitazama utaona kwamba hata AHMEDNEJAD nae yuko huku licha ya kuwa nchi yake na marekani ziko katika hali ya sintofahamu,lakini pia mbowe na sugu walikua huko hivi majuzi na safari yao tuliigharamia sisi tax payer,ndi gharama za demokrasia,hatuna jinsi wazungu wametuletea demokrasia lakini lazima tuigharamie
 
Mkuu huko nchi gani? Mbona alitoa jana hotuba?

Jamani huyu jamaa ni utaratibu wake kulihutubia taifa kila mwezi ao anafanya anvyopenda yeye
tulitaka kusikia kasi mpya,ari mpya na nguvu mpya inaendeleaje.
 
Hapana mkuu ni matumizi ya safari ndio nayaonea wivu kulinganisha na wale wenzetu loliondo wanaokufa na njaa shukuru mungu baba yako aliwahi umande mkuu ukazaliwa dar es salaam ..wenzio wanataabikandio tunajaribu kuwaondolea umande kwa wahusika kuwapa msaada hata wa chakula tu
 
mnamuonea wivu!

Acha siasa za Wasira wewe jibu issue hiyo sasa anaonewa kwa lipi wakati anatumia kodi za wanyonge kwa saafari ambazo hazina tija.Ama kweli ukitaka kushabikia CCm na Kikwete wao lazima uwe na akili ya maiti.Si mmeona waliimba wee lazima mapacha 3 Edward Lowasa,Andrew Chenge na Rostam Azizi wajivue gamba lakini cha kushangaza leo hii mapacha wale wamekuwa watu wasafi sijui huyu aliyeanzisha Vua gamba yu wapi au ndio kalala ajabu hii
 
Jamani huyu jamaa ni utaratibu wake kulihutubia taifa kila mwezi ao anafanya anvyopenda yeye
tulitaka kusikia kasi mpya,ari mpya na nguvu mpya inaendeleaje.

Alishahutubia na kuna uzi aliuanzisha mohamedi tantawi ambapo wadau walikuwa wanatoa live yanayojiri
 
Last edited by a moderator:

Muwe mnaona aibu ingawa wanasema nyie waswahili hamna aibu; unapomfananisha Rais wa Iran na Vasco Dagama, je unajua mara ngapi kwa mwaka huyu bwana anakwenda marekani? Rais wa Iran huenda mara moija kwa mwaka kwenye mkutano wa U.N. wakati Vasco Dagama yeye hata mikutano ambayo angeweza kuwakilishwa mradi ni mareakani ataacha kila shuhuli na kukwea pipa!!! Jamaa haoni aibu asilani kazi kutembeza bakuli halafu fedha wanaficha Uswisi!!
 
Kama wapiga kura mmeridhika na trip zake ataendelea kuzurula tu
 
Ala, huyo atakayemwakilisha atakwenda kwa miguu, hatalipwa per diem na hatatumia fedha za walipa kodi? Hivi issue ilikuwa matumizi ya fedha au mkuu kusafiri kila mara? . Mwacheni rais atumie nafasi yake kama rais. Nawe siku ukiwa rais usisahau kutumia nafasi yako kama rais.
 
Kama kawaida, kutembeza bakuli kumeanza. Infact ni aghalabu kusikiliza speech yake bila neno msaada ndani yake. Mpaka sasa hajajua madhara ya misaada ya wazungu anayoona fahari kuitaja. For a perfect man kuzungumzia kuomba misaada ni aibu kubwa... Hasa kama huna sababu za msingi za kuomba hiyo misaada!
 

Sema ana hamu na mkewe. Si alitangulia na akina Membe!!!!!!!!!!!!

Vile vile wakuu. Ingekuwa vyema katiba mpya ikaweka wazi ukomo wa siku za raisi kuwa nje ya ofisi ( mobile ofice). Maana huyu jamaa nadhani kala miguu ya kuku.
 
Na posho anapata sawa na wajumbe wengine hata kama watapewa 6,000 USD na yeye anachukua wakati pale wamekwenda kama mke na mume hivyo baadhi ya cost nilitegemea kwa upande wake kuwa chini kama ya malazi, inaelekea retirement zao hazifanyiki kwa receipt inasainiwa ela yote kama allowance.
 
Sema ana hamu na mkewe. Si alitangulia na akina Membe!!!!!!!!!!!!

Vile vile wakuu. Ingekuwa vyema katiba mpya ikaweka wazi ukomo wa siku za raisi kuwa nje ya ofisi ( mobile ofice). Maana huyu jamaa nadhani kala miguu ya kuku.

Mimi nilikuwa nimeshangaa Mhe Dkt Dkt Dkt JK 'kususia' kikao cha UN General Assembly amtume Membe kumwakilisha, yaani akose kwenda Marekani? Ilikuwa karibu nifungue uzi wa kumpongeza kwamba ameanza kufanya kama Baba wa Taifa Hayati JKN alivyokuwa akifanya. JKN alikuwa anawatuma akina Sam Malecela kuwakilisha Tanzania katika vikao vya UN. Kumbe inaelekea alilazimishwa na vikao vya CCM kubaki na hivyo akili yake yote wakati wa vikao ilikuwa nyyuyoko!! aahhhh, aahhh,:biggrin:
 
Wadau mnakumbuka ule wimbo wa msanii wa kenya unaimbwa..
Bwana nipe pesa,watoto wana njaa,
huyu kiongozi wangu amezoea kutangatanga,hata majirani wamechoka kumuoa huku wakisema fungeni milango anakujaaaa!
 
Wadau mnakumbuka ule wimbo wa msanii wa kenya unaimbwa..
Bwana nipe pesa,watoto wana njaa,
huyu kiongozi wangu amezoea kutangatanga,hata majirani wamechoka kumuoa huku wakisema fungeni milango anakujaaaa!

Ndo ivo ujue ulimchagua ili aweze kutimiza ndoto zake za kusafiri
 

Kuna uwezekano tuakajenga IKULU NDOGO Marekani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…