Rais Kikwete kwanini anatembelea Iringa mara kwa mara?

Kulikuwa na uzinduzi wa miradi mikubwa miwili ya maji. Moja ni Pawaga unaomilikiwa na dhehebu la dini. Lutherani. Kama kiongozi wa nchi alialikwa na wizara ya maji...

Umefikiri hayo uliyoandika au umekurupuka. Walutheri wajenge mradi maji, Wizara ya Maji imualike kufungua?!
Kama alialikwa basi ni Walutheri wenyewe ndiyo waliomualika na sio Wizara ya Maji, hapo haina chao. Kama wizara ya maji wanataka kumualika wajenge nao miradi yao wamualike.
 
Ana magorofa yake hapa Iringa mjini,vilevile anashirikiana biashara na mfanyabiashara maharufu mwarabu ambaye ameoa mtoto wake bwana Asasi,hakika Kikwete ana utajiri mkubwa sana hapa mjini Iringa mjini.
 
....swali nalojiuliza mbona kawasusa wanyakyusa kiasi hicho?....[/COLOR][/QUOTE]


Nafikiri wewe huijui Mbeya kiundani! Ina maana wakaazi wa Mbeya ni Wanyakyusa? Mbona hukuwataja WASAFWA ambao ndo wenyeji wa Mbeya mjini? Je! Wasangu, Wanyiha , Wandari umewaweka fungu lipi? Hao Wanyakyusa ni wenyeji wa Rungwe na Kyela, kaa ukijua hilo...!
 
....swali nalojiuliza mbona kawasusa wanyakyusa kiasi hicho?....[/COLOR]


Nafikiri wewe huijui Mbeya kiundani! Ina maana wakaazi wa Mbeya ni Wanyakyusa? Mbona hukuwataja WASAFWA ambao ndo wenyeji wa Mbeya mjini? Je! Wasangu, Wanyiha , Wandari umewaweka fungu lipi? Hao Wanyakyusa ni wenyeji wa Rungwe na Kyela, kaa ukijua hilo...![/QUOTE]

Negembo wanyakyusa nimewataja kama iconic figure tu sikusema hakuna makabila mengine may be umesoma kwa makengeza vaa miwani kwa ss wanyakyusa ndo wamejaa mjini wenyeji wengi wako milimani huko hata kwa wingi huwezi kuwalinganisha na wanyakyusa waliojazana toka uyole hadi mbalizi
 
Leo kwenye taarifa ya habari nimemuona mheshimiwa rais akiwa mkoani Iringa hii inanifanya nijiulize kwa nn ametembelea mkoa huo zaidi ya mara 7 tangu achaguliwe wakati mkoa wa jirani Mbeya hajarudi tangu aende kuomba kura za urais wakati umbali wake ni km 300 kwa barabara kwa ndege ni nusu saa tu.swali nalojiuliza mbona kawasusa wanyakyusa kiasi hicho?nahisi ndo mkoa unaoongoza kwa kutotembelewa na rais

mbeya walisema mbeya ni nchi rais ni sugu huyu JK hana nafasi kwani hawata msikiliza
 
rais kila sehemu anapewa zawadi ya demu...nasikia anataka kumpa asas shamba la mifugo la serikal la sao hill
 
Mnatuonea wivu siye watu wa Iringa punguzeni presha Dar c mnajua joto(by Atubariki
 
rais kila sehemu anapewa zawadi ya demu...nasikia anataka kumpa asas shamba la mifugo la serikal la sao hill
Hi ss ni kali hilo shamba liko kwenye ule msitu pale mafinga nn?maana nikipita na mabus ndo huwa napaona
 
Mkuu baada ya kuchaguliwa nakumbuka kama alienda kule wakamtwanga mawe au?

habari ndiyo hiyo kaka, hawezi kufika mbeya na sababu ziko wazi, sijui kwa nini mtoa mada anashindwa kuzifahamu, au ni kwa sababu anataka kuwaprobe watu afahamu zaidi????
 
bi mdogo yupo hapo iringa tena ni mtoto wa tajiri mmoja hapo.kuja kwake hapo sio bure anaua ndege wawili kwa jiwe moja


Mkuu umesahau akimaliza matembezi anaenda ruaha mbugani kujipumzisha na Bi Mdogo.!
 
unataka aje nyumbani kwenu?
yule ni rais wa tanzania,lazima atembelee nchi yake yote.juzi alikuwa kilimanjaro anaedndela na ziara za kikazi kuwaletea watanzania maendeleo
 
Iringa - PRESIDENT Jakaya Kikwete has said the government will not allow pastoralists or farmers to return to Ihefu wetlands because the area is of great economic significance to the nation.
He advised civic leaders to stop seeking votes by cheating people that they were capable of forcing the government to allow farmers back to the wetlands. The president was addressing hundreds of Iringa residents who turned up to mark the climax of the Water Week.
Earlier, Ruaha National Park Chief Warden Mr Stephano Qolli told the Minister for Natural Resources and Tourism, Mr Ezekiel Maige, that pastoralists were gradually moving back to the wetlands area.
"The minister has been informed that farmers and pastoralists are returning their herds to the wetlands and want the government to apportion them some land in the area. That is impossible and MPs and councillors should understand it," the president said.
He said it was time for political leaders to take decisions that might anger the public but benefit the nation. He said the world is grappling with water scarcity, and many people are scrambling for the little that is available due to climate change. The president said Ihefu pours its waters into the Great Ruaha from where Mtera dam generates electricity.
Rufiji basin which is famous for farming, through irrigation also depends on Ihefu. In celebrating the water week, the president also inaugurated the Iringa Urban Water Project expected to benefit 200,000 people in Iringa town, neighbouring communities and villages.
The project cost a total of Euro 33,458,000 (about 73 bn/-) and was implemented by Iringa Urban Water Supply Authority (IRUWASA). Of the funds, Euro 17,076,000 (about 35 bn/-) was donated by the European Union while the rest came from the Water Basket, the Federal Republic of Germany and IRUWASA.
The EU Ambassador to Tanzania, Filiberto Ceriani Sebregondi, in a speech read on his behalf by the Head of Infrastructure Section of the EU Delegation to Tanzania, Adam Grodzicki, said EU believes that access to improved water and sanitation facilities leads to improved health as targeted under the Millennium Development Goals (MDGs).
The Head of Cooperation of the German Embassy, Gisela Habel, welcomed the successful conclusion of the Iringa water project, noting that Iringa residents will now feel the impact on improved water supply and sanitation
 
Mkuu umesahau akimaliza matembezi anaenda ruaha mbugani kujipumzisha na Bi Mdogo.!

Kobe mi najua huwa anapenda kwenda ngorongoro hasa mwishoni mwa mwaka hiyo ya ruaha nilikua sifaham
 
Hamjatulia. Ahahah. Rais hatwangwi mawe!

Haya lakini alitwangwa mawe, na Mkapa alibugizwa mchanga Ujiji kwa hiyp kanuni ya raisi hatwangwi mawe nayo kwa TZ haijatulia. Akileta za kuleta wenye nchi wanamdu kama wanavyo wadu vibaka tu. Awe mwema ataheshimika.
 
mkoa wa iringa ndio mkoa ambao jk amewekeza sana..kuanzia mji wa mafinga, makambako na njombe kote huko kuna jk amejenga vituo vya mafuta (shell) na pale iringa mjini kuna jengo la maana linaeleka kuisha...kuna shemeji yake mmoja ambaye ni mtoto wa mzee asas huyu amekabidhiwa rungu la kukwapu pembe za ndovu to hifadhi ya ruaha...
Haya ni majungu mwanzo mwisho kwa lugha ya mtaani ni kupakana matope. Wandugu tusiseme mambo kwa reference za vijiweni. Wasimuliaji wa vijiweni wanakua wamepata jani hivyo wanaelezea ndoto zao.chukua taadhari.
 
Haya ni majungu mwanzo mwisho kwa lugha ya mtaani ni kupakana matope. Wandugu tusiseme mambo kwa reference za vijiweni. Wasimuliaji wa vijiweni wanakua wamepata jani hivyo wanaelezea ndoto zao.chukua taadhari.

Hahaha.......mkuu umesahau......lisemwalo lipo.....hahahaha
 
Back
Top Bottom