yutu
JF-Expert Member
- Nov 24, 2013
- 1,778
- 1,226
[emoji120] [emoji120] [emoji120]hiyo aibu umetiwa peke yako. wengine tunam-rank kama rais bora kuliko watangulizi wake wote. hatujui tu ajaye kama ataweza kumfunika. pole.
[emoji120] [emoji120] [emoji120]hiyo aibu umetiwa peke yako. wengine tunam-rank kama rais bora kuliko watangulizi wake wote. hatujui tu ajaye kama ataweza kumfunika. pole.
Uliona mbali mkuuanatoka rais mpole anaingia mkali,,,sasa ile tabia ya kudeka deka na kutaka kwenda kunywa strungi ikulu,,inafikia mwisho
Ni kweli tulihitaji rais dikteta atakae push maendeleo mbele.Namtakia maisha mema huko aendako. Tunataka Rais hatokuwa anachekacheka jukwaani. Kuna mzee m1 aliwahi kusema Tz ilipofikia kwa sasahivi angalau tungempata Dikteta.
HahàNitammis sana huyu dingi,hasa kitendo chake cha kulikata lilowasa.
mtaelewa tu taratibu maana akili zenu ni za kushikiwa. mpaka muunganishwe ndo muweze kuelewa.