Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
Mchana huu Rais Jk ametembelea na kujionea hali halisi ya nyumba za muda huko mabwe pande zilizojengwa kwa ajili ya waathirika wa mafuriko.
Nyumba hizo (mahema) zina uwezo wa kustahimili kwa muda usiopungua mwaka mmoja.
rais ameahidi kuwa serikali itakuwa karibu katika kuwasaidia wahanga hao kwa hali na mali.
Chanzo.east africa radio na cluods fm
Nyumba hizo (mahema) zina uwezo wa kustahimili kwa muda usiopungua mwaka mmoja.
rais ameahidi kuwa serikali itakuwa karibu katika kuwasaidia wahanga hao kwa hali na mali.
Chanzo.east africa radio na cluods fm