sasa nani awe rais tz?
achen hizo huyo jamaa ana kibarua kigumu sana kufunika na kukalia mabaya yaliyofanywa na mkapa!!!!!
na ndo kazi pkee anayoifanya tu! vinginevyo basi mkubali mkapa apelekwe kizimbani ili maovu yake yote jamaa ayatue na ndipo twaweza kusema anaweza au la maana hadi hivi sasa hakuna kitu JK ameshawahi kufanya kikubwa hapa nchini zaidi ya safari na ufunguzi wa majengo na kualikwa kuwa mgeni rasm kwenye majukwaa mbali mbali.
achen hizo huyo jamaa ana kibarua kigumu sana kufunika na kukalia mabaya yaliyofanywa na mkapa!!!!!
na ndo kazi pkee anayoifanya tu! vinginevyo basi mkubali mkapa apelekwe kizimbani ili maovu yake yote jamaa ayatue na ndipo twaweza kusema anaweza au la maana hadi hivi sasa hakuna kitu JK ameshawahi kufanya kikubwa hapa nchini zaidi ya safari na ufunguzi wa majengo na kualikwa kuwa mgeni rasm kwenye majukwaa mbali mbali.