run CMD
JF-Expert Member
- May 31, 2015
- 2,827
- 3,136
Naona unashadadia ujinga wa mwenzako
punguani sana huyu
Naona unashadadia ujinga wa mwenzako
JK hawezi kurudi kwa ajili ya ki-Chawa kuonekana katika shatiHivi hii ni porojo?
JK hawezi kurudi kwa ajili ya ki-Chawa kuonekana katika shati
waliobaki CCM wataimaliza UKAWA bila ya JK
Tuletee habari zako za kiuchunguzi,teeeeeh,teeeeeh
punguani sana huyu
Achana nae huyo ngoja lowassa aingie apigwe chini yeye na wakuu wenzake wa wilaya. Pia si alimtukana lowassa huyu..
Dah! Ka kipi kituhangaishe? Lowasa kakatwa basi. Tunajiandaa na kampeni
Tume ya uchaguzi yao.CCM ni lazima ing'oke madarakani kwa mbinu zozote zile hata kama ni chafu!
Lowasa ana mjuwa vyema kikwete na kama hamuamini lowasa ajaribu kuongea chochote wakati huu kama kweli anauchungu wa kukatwa bila sababu.
Viroba vina madhara makubwa sana kwa afya ya ubongo
JK hawezi kurudi kwa ajili ya ki-Chawa kuonekana katika shati
waliobaki CCM wataimaliza UKAWA bila ya JK
Hii nchi baada ya Raisi JK ni EL
Dah! Ka kipi kituhangaishe? Lowasa kakatwa basi. Tunajiandaa na kampeni