Rais Kikwete ana ubinadam

Rais Kikwete ana ubinadam

Ze mimi

Senior Member
Joined
Oct 13, 2013
Posts
127
Reaction score
16
Nasema rais wetu ana ubinadam kwa sababu nimegundua mara nyingi linapokuja suala linalogusa maslahi ya wananchi waliowengi hua yuko tayari kusikiliza hata kama wabunge wa chama chake hawataki.Hivyo nachukua nafasi hii kuwalaani MPs wote wa sisiem.
 
Mkuu kama viongozi wa kisiasa wote wangekuwa kama jk taifa hili lingepiga hatua kubwa zaidi ya hapa tulipo,
Jk amekuwa kimbilio la kila mtu na kila kundi kwa kweli mfanowe hakuna,
 
Ha ha Kikwete ni sehemu ya bunge yeye na cacus ya CCM huwa wanaamua kitu kimoja wananchi wakicharuka anawaruka wenziwe kanzisha mishe mishe zake matokeo wabunge wa CCM wanaonekana mbayuwayu mbele ya umma umeambia JK kwa double face ndio menyewe humuwezi
 
Laana ikurudie ww kwackuwalaani wabunge wa chama tawala ambao wako pale kukutetea ww mtanzania maskini.
 
Ha ha Kikwete ni sehemu ya bunge yeye na cacus ya CCM huwa wanaamua kitu kimoja wananchi wakicharuka anawaruka wenziwe kanzisha mishe mishe zake matokeo wabunge wa CCM wanaonekana mbayuwayu mbele ya umma umeambia JK kwa double face ndio menyewe humuwezi
Bado unaota. Subiri uamke upige na mswaki ndio uingie jf
 
Sijaelewa vizuri hapa. Rais amefanya nini?

Kuna tetesi mpya?
Amejenga mtandao wa barabara za lami nchi nzima, shule za sekondari kila kata nchi nzima, chuo kikuu kila mkoa, hospitali ya rufaa kila mkoa na sasa anakuletea katiba mpya
 
Nasema rais wetu ana ubinadam kwa sababu nimegundua mara nyingi linapokuja suala linalogusa maslahi ya wananchi waliowengi hua yuko tayari kusikiliza hata kama wabunge wa chama chake hawataki.Hivyo nachukua nafasi hii kuwalaani MPs wote wa sisiem.

Sijug kwa nini nimeikumbuka ghafla familia ya Babu Seya..!?
 
Haya tena naona watu wanaandaliwa kisaikologia tayari kabisa kwa kupewa taarifa. Tusubiri tuone taarifa itakuwa ya harusi au ya msiba.
 
Amejenga mtandao wa barabara za lami nchi nzima, shule za sekondari kila kata nchi nzima, chuo kikuu kila mkoa, hospitali ya rufaa kila mkoa na sasa anakuletea katiba mpya

Hakya Mungu nimeamini ukiwa mfuasi wa ccm lazime uwe na akili za maiti...

Hebu tutajie hivyo vyuo vikuu kika mkoa na Hospitali za rufaa kila mkoa..
 
Mkuu kama viongozi wa kisiasa wote wangekuwa kama jk taifa hili lingepiga hatua kubwa zaidi ya hapa tulipo,
Jk amekuwa kimbilio la kila mtu na kila kundi kwa kweli mfanowe hakuna,

Kumbe unakiri kuwa hatustahili kuwa hapa tulipo, bado unampongeza huyo fisadi wenu anayeongoza kishogashoga.

Ni kweli kwa rasilimali tulizojaliwa na mwenyenzi Mungu Tanzania hatukustahili kuwa hapa tulipo. Bahati mbaya sana our country lacks leaders with a sense of mission and commitment. Kikwete ni tazizo.
Nchi hii tukimpata kiongozi mwenye uthubutu, mzalendo wa kweli na nchi yake, this country will turn the best in terms of sustainability.

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Nasema rais wetu ana ubinadam kwa sababu nimegundua mara nyingi linapokuja suala linalogusa maslahi ya wananchi waliowengi hua yuko tayari kusikiliza hata kama wabunge wa chama chake hawataki.Hivyo nachukua nafasi hii kuwalaani MPs wote wa sisiem.

Muulize Professor Mukandala yule aliyewahi Vice Chancellor of University of Dar es salaam atakuambia kama JK ana ubinadam au hana.Kabla hujamalizana na Mukandala mtafute yule Mfanyabiashara maarufu mwenye asili ya Kiarabu aitwae Merey Balhabou aliyewahi kuwa mmiliki wa Moro United nini kilimpata,Nasikia pia yule aliyewahi kuwa mwanamuziki maarufu hapa Nchini ambaye kwasasa yeye na familia yake anasota jela ni baadhi ya wahanga wa visasi vya Tate Kulu(Mkulu) na orodha bado ni ndefu.......................
 
Nasema rais wetu ana ubinadam kwa sababu nimegundua mara nyingi linapokuja suala linalogusa maslahi ya wananchi waliowengi hua yuko tayari kusikiliza hata kama wabunge wa chama chake hawataki.Hivyo nachukua nafasi hii kuwalaani MPs wote wa sisiem.

Hata dr.ulimboka alimkarimu sana.kweli ni mtu wa watu.
 
Muulize Professor Mukandala yule aliyewahi Vice Chancellor of University of Dar es salaam atakuambia kama JK ana ubinadam au hana.Kabla hujamalizana na Mukandala mtafute yule Mfanyabiashara maarufu mwenye asili ya Kiarabu aitwae Merey Balhabou aliyewahi kuwa mmiliki wa Moro United nini kilimpata,Nasikia pia yule aliyewahi kuwa mwanamuziki maarufu hapa Nchini ambaye kwasasa yeye na familia yake anasota jela ni baadhi ya wahanga wa visasi vya Tate Kulu(Mkulu) na orodha bado ni ndefu.......................

Hivi kwan Mukandala sio VC wa UDSM??

mmh!! yaelekea niko outdated sana siku hizi.................
 
Hivi kwan Mukandala sio VC wa UDSM??

mmh!! yaelekea niko outdated sana siku hizi.................

Naona huyo jamaa anapenda sana historia kwa hiyo kila kitu amekiweka kihistoria. Rwekaza Mukandala bado ni VC wa UDSM
 
Back
Top Bottom