Mie nadhani issue hapa sio Jairo kuchangisha pesa kwa ajili ya Budget. Issue hasa ni pesa hizo zilitumika vipi. Tayari kuna ripoti kwamba wajumbe wa kamati ya Nishati akiwemo Mhe. John Mnyika walipewa bahasha wakazikataa. Uchunuzi wa Ludovick Utoah hakuwenda uko uliishia kwenye pesa ngapi zilikusanywa.