Usedcountrynewpipo
JF-Expert Member
- Aug 1, 2012
- 3,638
- 2,720
Hivi huyu Sisco si aliwahi kushindwa ubunge? Nakumbuka kichwa kimoja cha habari 'Sisco arudia disco' nasikia alikuwa dj. Ndio huyu huyu Sisco au ni mwingine?
aliyekuwa mkuu wa itifaki bwana abdul sisco amekuwa balozi mpya wa tanzania malyasia.
Rais pia ameteua mkuu mwingine wa itifaki.
source: Ikulu, na habari zaidi tusubiri magazeti ya kesho!
A well deserved appointment for a Civil servant of his calibre!
Mwanadiplomasia!
But what are the motives for bringing this to Jukwaa la siasa?
Curious?
iAfu kumbe Uzi tokea mwaka 2007 aisee..