Watutsi wamesahau sababu ya vita ya wenyewe kwa wenyewe wamesahau kabisa kuwa makosa waliyafanya Wahutu ndio anayoenda yafanya Kagame. Ndio maana nathubutu kusema wa afrika tuna laana na kama sio laana tumelogwa. Sii kweli Kagame ni very smart kuliko watu wengine sii kweli, hata Ghadafi alifanya hvyo ktk utawala wake aliwany?nga watu, kupoteza watu nakuajiri usalama wataifa kila kona. Ila watu walipofika mahali wakasema tumechoka. Walimng'oa kwa nguvu zote. Namwisho kifo cha aibu. Hakuna jipya analolifanya Kagame, inatambulika kabisa anafanya matendo yale yale alio yafanya Ghadaf kwa watu wake. Kila anaye nyoosha kidole kwa kagame popote alipo lazma afe na hilo sio siri. CIA Wametoa report, M16 ya Uk nayo imetoa maovu ya huyu Bwana. Sitaki kuamin eti kwa kumpa Muda wakutawala maisha Kagame ataleta aman kwa makabila yote makubwa Rwanda. Makosa walio yafanya watanguliz wake. Rwanda haipo salama.