Nimesikitika sana kusikia eti Kagame bado anataka kuwa Rais wa Rwanda kwa miongo mingine kadha.
Jamani hivi wa afrika tumelogwa au tumelaaniwa? Kweli Kagame anataka kuwa Rais wa Rwanda? Ewoo! Ina maana Rwanda haina watu wenye sifa yakuwa Rais?
Kwanini tunajisahau kias hiki nakutaka kuwa bara lamijitu inataka kuwa miungu watu? Hv kuna mtu watu wake wangependa aendele kuwa rais kama Obama? Mbona anaondoka whitehouse kiroho safi.
Afrika haiwez kuendelea kwa namna hii viongozi wanao dhani wana sifa za kutawala peke yao na sio mwingine ni viongoz wenye udikteta ndan yao na mwisho wao sio mzuri.
Mugabe, Museveni, Kagame, Nkuruzinza, Kabila niwakuwaondoa katika Jumuiya ya Afrika Mashariki, maana wanaharibu jumia kwa kuleta malumbano ndan ya nchi zao wenyewe.
Wanyarwanda watafakari makosa wanayoyatenda kwa kumwambia Kagame No!
Kaa ushauri vijana ila yeye apumzike.
Jamani hivi wa afrika tumelogwa au tumelaaniwa? Kweli Kagame anataka kuwa Rais wa Rwanda? Ewoo! Ina maana Rwanda haina watu wenye sifa yakuwa Rais?
Kwanini tunajisahau kias hiki nakutaka kuwa bara lamijitu inataka kuwa miungu watu? Hv kuna mtu watu wake wangependa aendele kuwa rais kama Obama? Mbona anaondoka whitehouse kiroho safi.
Afrika haiwez kuendelea kwa namna hii viongozi wanao dhani wana sifa za kutawala peke yao na sio mwingine ni viongoz wenye udikteta ndan yao na mwisho wao sio mzuri.
Mugabe, Museveni, Kagame, Nkuruzinza, Kabila niwakuwaondoa katika Jumuiya ya Afrika Mashariki, maana wanaharibu jumia kwa kuleta malumbano ndan ya nchi zao wenyewe.
Wanyarwanda watafakari makosa wanayoyatenda kwa kumwambia Kagame No!
Kaa ushauri vijana ila yeye apumzike.