Maghayo
JF-Expert Member
- Oct 5, 2014
- 13,695
- 29,030
Mzuka wanajamvi!
Rais wa Rwanda Paul Kagame amekerwa na kuhuzunishwa kwa Arsenal kufungwa 2-0 na vibonde Brentford waliopanda daraja EPL.
Kagame alisema kama mshabiki mkubwa wa Arsenal amehuzunishwa na kukerwa na matokeo hayo. Nakuomba mabadilikoyawepo haraka sana.
Ikumbukwe Rwanda inailipa Asernal hela nyingi kuitangaza kwenye jersey yao.
Mwakajana tulimbeza sana mwanajamvi mwenzetu Erythrocyte nakumshambulia alipoleta uzi Arteta siyo kocha mzur.
Castr Chaliifrancisco
Rais wa Rwanda Paul Kagame amekerwa na kuhuzunishwa kwa Arsenal kufungwa 2-0 na vibonde Brentford waliopanda daraja EPL.
Kagame alisema kama mshabiki mkubwa wa Arsenal amehuzunishwa na kukerwa na matokeo hayo. Nakuomba mabadilikoyawepo haraka sana.
Ikumbukwe Rwanda inailipa Asernal hela nyingi kuitangaza kwenye jersey yao.
Mwakajana tulimbeza sana mwanajamvi mwenzetu Erythrocyte nakumshambulia alipoleta uzi Arteta siyo kocha mzur.
Castr Chaliifrancisco