DR. MWAKABANJE
JF-Expert Member
- Nov 7, 2012
- 1,976
- 3,122
Inawezekana unamawazo mazuri lakini hiyo paragraph ya mwisho bure kabisa, wewe ni nani hata uwaambie watanzania wasiokubaliana na mh. Wahame nchi?? Waende wapi?? Kukosoa na kuhoji ndo kunaleta kitu kimoja chanya mi nafikiri kama wewe hupendi kukosolewa ndo uhame nchi au tengeneza dunia yako isiyo na utamaduni wa kukosoa."Haiwezekani, unaenda huku unakuta wafanyakazi hewa, ukigeuka huku unakuta balabala hewa, ukitizama kule unakuta wanafunzi hewa...yaani kila kitu ni hewahewa tu, kwa kweli mzee wangu Kikwete umeniachia mzigo mzito", haya ni maneno ya Rais wetu H.E JPM akimweleza mtangulizi wake tena bila kupepesa macho, kweli Rais tunae, hana chembe ya unafki, sasa ninazidi kumwelewa na niko tayali kumuunga mkono hata nikikosa sukari maana najua kutoka moyoni anatuwazia mema.
Nashauri tu asiyetaka kumwelewa Rais kwa sasa ahame tu nchi maana ni kama wiki sasa naona akina Ben Saanane wamekazana kumdhihaki, kama mnadhani watanzania tunahaja na Rais anayejua kuzungumza kingeleza kwa ufasaha basi tungeenda kumchukua mwingeleza atuongoze, go JPM go wataelewa tu.
Hata mh. Magufuli anajua utamaduni huo ndo maana alipita kuomba kura maana alijua wapo wasiokubaliana naye so lazima awashawishi.