Rais Joseph Kabila Mashakani

hata mwanaHALISI nadhan

Ni mwanaHALISI mkuu, nilikuwa nalo ntajaribu kulitafuta stoo - mkuu ukiangalia picha ya Joseph ukalinganisha na picha ya Adrien Christopher Kanambe wamefanana kama mapacha vile wala mtu haitaji vipimo vya DNA ku prove hilo.

Hila sina uhakika kama Joseph aliwahi kutumia jina la Kanambe wakati anasoma na kuishi DSM TANZANIA, alafu hili suala la kusema Joseph wakati mwingine alikuwa anaishi maisha ya kubangaiza hapa DAR naona hilo si kweli, Mzee Kabila alikuwa na Biashara zake za kuaminika akishilikiana na Kazzadi, hawakuwa na njaa wale labda useme jambo lingine siyo ukame wa fedha.

Joseph aliwahi kwenda Uchina kwenye mafunzo ya kijeshi, aliye mpeleka huko ni Kabila Sr.mwenyewe siamini kama Rwanda ilihusika na hilo; mambo mengine yakiwekwa chumvi yankosa credibility. Mimi ningebishi kama nisinge wahi kuona picha ya Joseph na Kanambe na ndio maana niliamua kuziweka kama kumbukumbu.
 

Na kuhusu udereva wa taxi ni kweli?
 
Kabila anasumbuliwa na mzimu wa Etienne Tshisekedi ...
 

Mkuu Joseph sio damu ya Kabila na historia ya yeye kuishi na kusoma bongo ni ya kweli . Pia ameshawahi kujichanganya mara mbili katika Interview ya BBC na ALJAZEERA Kuhusu maisha yake ya ujana . Pia wafaransa hawamtaki Joseph coz ana Idiology za Kimarekani zaidi ya za kifaransa . Soon aibu kubwa itamfika bwana Joseph ,nilikuwa na baazi ya wakongo wansema wazi hali ni tete kuhusu yeye kuwa raisi wa kongo ili hali si mkongomani.

Kuhusu pacha wake (dada yake ) taarifa ni kwmba bado yupo Dar na ana kampuni kubwa sana ya kusafirisha mizigo kutoka Dar kwenda Central Africa .
 
habari kama hii iliishatoka kwenye gazeti la raia mwema? sema wa tz (kama wakenya wanavyotuita) hatusomiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!!!!

Ni watanzania wangapi wenye uwezo wa kununua magazeti? Pia una uhakika kila sehemu ya Tanzania magazeti yanafika? Mfano mie hapa Chala ninaweza kukaa mwezi sijaona gazeti lolote la kiswahili zaidi ya haya ya Kichina na Kijapani ya kufungia maandazi so please dont judge wrong mtoa mada
 
Mkuu Kim Kardash unajua watu wanadhani kila mtoto ni mtoto, nimesoma hiyo post ya kwanza nimecheka tu. Nimefurahi kuwa umeweka na apicha ili watu wajue kuwa hapa JF si rahisi kudanganya watu.

Mkuu naona Kim Kardash ana a treasure trove ya picha za famila ya Kabila Sr., can he come clean and tell us why is conveniently avoiding kutuonyesha picha ya Adrien Christopher Kanambe!

Watu siyo wajinga kihivyo, tuonyeshe picha ya Kanambe ili wana JF wa draw their own conclusion; tukisha ona picha hiyo sina shaka itamaliza utata uliopo.

Kumbuka Kabila Sr hakuwa peke yake wakati akipigana vita vya msituni against Mobutu, alikuwa anashirikiana na Wacongomani, Watutsi nk - Mzee Kabila alikuwa na mkewe, vile vile Adrien Kanambe naye alikuwa na mkewe i.e familia ya Mzee Kabila Sr na familia ya Kanambe walikuwa wanaishi KAMBI moja huko misituni.

Mimi niliwahi kusoma somewhere na hata hapa wanajeshi Wacongomani wanesema kilicho tokea kwa Kanambe baada ya kikosi alichokuwa anaongoza kupigwa vibaya sana na majeshi ya MOBUTU, tukio hilo lilimkasilisha sana Kabila Sr. akatoa amri kwamba Kanambe atoswe ndani ya ziwa Tanganyika. Swali ni: Je, nini kiliwasibu familia ya Kanambe baada ya yeye kuuwawa? Ninaposema familia nina maana ya Mkewe Kanambe na watoto wake wawili kama sikosei?

The CRUX of the matter here is one "Adrien Christopher Kanambe" na uhusiano na familia ya the late Kabila Sr. ya sasa hivi; tusijaribu ku-derail mambo hapa.
 
Na kule Danganyika nako utasikia Chenkapa alikuwa mmakonde na huyu raisi wa Tiefutiefu inasemekana ni nasaba za kina Kagame!!

Historia nzuri zaidi ni ya raisi Mwinyi kuwa raisi wa Zanzibar na mapinduzi ya zanzibar kuongozwa na Okelo!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…