MR. MORRIS T. J.
JF-Expert Member
- Apr 18, 2013
- 1,167
- 403
unampongeza kwa lipi hasa..??????????? mtu ambaye anarejea matapishi na kusahau aliyoyanena nyuma.
Kiukweli nampongeza rais Kikwete toka moyoni mwangu
jk oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!
Waswahili ni watu wa ajabu sana, mnaweza mkapanga jambo vizuri asubuhi, jioni akakugeuka.
Sas Wasira,Chemba na Lukuvi wamegeukwa jioni
Huu ni upotoshaji!!!! Wanaostahili kupewa Oyeeeeeeeeee ni UKAWA na wananchi, siyo JK! JK amelazimika kunywea kutokana na mashinikizo ya wananchi! Mashinikizo ya UKAWA, Viongozi wa Dini k.mf Tamko la Jukwaa la Wakristo Tanzania, wana harakati, kesi zilizoko mahakamani, Jumuia ya Kimataifa n.k, yamemfanya JK kusalimu amri! Majuzi tu, yeye na Kamati yake Kuu ya CCM walikuwa mstari wa mbele kuunga mkono uhuni unaoendelea BMK!!!!!