Rais huyu' kulikoni?

mshikachuma

JF-Expert Member
Dec 2, 2010
2,853
626
Lilipo ibuka swala la wizi wa Epa kwanza alikataa na baadae akakubali,lakini hadi leo hii
hakuna action yoyote aliyoichukuwa zidi ya watuhumiwa [Hana maamuzi] Lilipo ibuka swala la Richimond
kwanza alikataa na baadae akakubali,lakini hadi leo hii watuhumiwa bado wako kwenye
siasa wanaendelea kuiba na kula bata [Hana maamuzi]. Lilipokuja swala la rada hapo ndiyo kabisaaa
alimnadi mtuhumiwa kwenye kampeni kuwa ni mtu safi na TAKUKURU wakapigilia msumari wa mwisho
[Hana maamuzi]. Kwenye swala la Dowans kaamua kuwa bubu hadi leo,lakini wapambe wake wanataka
ilipwe very soon huku wananchi wakipinga waziwazi [Na hapa kakosa maamuzi].
Mawazo ya utashi wangu vinadiliki kusema kuwa Rais kikwete HANA MAAMUZI na ameshindwa kujita
mbua na kujisimamia kama Rais wa nchi! Iweje kila kitu yeye anaanza kwa kukataa na baadae ukubali
lakini linapokuja swala la maamuzi yeye huwa bubu na kuingia mitini. Kweli huyu ni Rais?
EPA,RICHIMOND,RADA,KATIBA,DOWANS,MAUWAJI ARUSHA,KUPANDA BEI YA UMEME NA GESI,MGAO WA UMEME nk. Hayo yote hakuna hata moja ambalo amelisimamia na kulimaliza kwa faida ya wananchi wake na kwa chama chake ccm. je! kweli huyu ni Rais? - Nawasilisha
 
Kama anaaza kwa kukataa yupo kwenye mstari ,kwani hata wakili anekutetea anakwambia usikubali kosa kwanza,akimaanisha ni lazima ukane kosa kwa hali yeyote ile.Hivyo Mheshimiwa Kikwete hana tatizo ,wenye tatizo ni nyinyi msio na uelewa wa wapi pakuanzia,inakuwaje mnakurupuka na Raisi ?
 
mkuu mwiba.... hivi unaweza kunamfananisha JK na wakili....acha banaa.... angekuwa wakili watu wote wangefungwa na kesi zote tungeshindwa hata ile ya City water
 
Lilipo ibuka swala la wizi wa Epa kwanza alikataa na baadae akakubali,lakini hadi leo hii
hakuna action yoyote aliyoichukuwa zidi ya watuhumiwa [Hana maamuzi] Lilipo ibuka swala la Richimond
kwanza alikataa na baadae akakubali,lakini hadi leo hii watuhumiwa bado wako kwenye
siasa wanaendelea kuiba na kula bata [Hana maamuzi]. Lilipokuja swala la rada hapo ndiyo kabisaaa
alimnadi mtuhumiwa kwenye kampeni kuwa ni mtu safi na TAKUKURU wakapigilia msumari wa mwisho
[Hana maamuzi]. Kwenye swala la Dowans kaamua kuwa bubu hadi leo,lakini wapambe wake wanataka
ilipwe very soon huku wananchi wakipinga waziwazi [Na hapa kakosa maamuzi].
Mawazo ya utashi wangu vinadiliki kusema kuwa Rais kikwete HANA MAAMUZI na ameshindwa kujita
mbua na kujisimamia kama Rais wa nchi! Iweje kila kitu yeye anaanza kwa kukataa na baadae ukubali
lakini linapokuja swala la maamuzi yeye huwa bubu na kuingia mitini. Kweli huyu ni Rais?
EPA,RICHIMOND,RADA,KATIBA,DOWANS,MAUWAJI ARUSHA,KUPANDA BEI YA UMEME NA GESI,MGAO WA UMEME nk. Hayo yote hakuna hata moja ambalo amelisimamia na kulimaliza kwa faida ya wananchi wake na kwa chama chake ccm. je! kweli huyu ni Rais? - Nawasilisha

Sijui ukiandika sms kwenye simu kama kuna mtu anaisoma duh
 
Kama anaaza kwa kukataa yupo kwenye mstari ,kwani hata wakili anekutetea anakwambia usikubali kosa kwanza,akimaanisha ni lazima ukane kosa kwa hali yeyote ile.Hivyo Mheshimiwa Kikwete hana tatizo ,wenye tatizo ni nyinyi msio na uelewa wa wapi pakuanzia,inakuwaje mnakurupuka na Raisi ?

****
 
Kama anaaza kwa kukataa yupo kwenye mstari ,kwani hata wakili anekutetea anakwambia usikubali kosa kwanza,akimaanisha ni lazima ukane kosa kwa hali yeyote ile.Hivyo Mheshimiwa Kikwete hana tatizo ,wenye tatizo ni nyinyi msio na uelewa wa wapi pakuanzia,inakuwaje mnakurupuka na Raisi ?
Kwa hiyo unajua kabisaa kuwa jamaa anakosea unamtetea nini sasa??
 
Back
Top Bottom