Sitaki kuamini kama kweli Rais durtete amekuwa vaccinated na izo chanjo za wachina ila inavyoonesha kuna madhara yameanza kuonekana mtaani ivo ameamu kuji mask yeye kama case study ili kutuma ujumbe mzito, Usalama wa nchi hauwezi kuruhusu huo upuuzi wa kumchanja Rais hata Mr Slim wa Rwanda ilikuwa ni maagizo tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.