Rais Dr Magufuli ruhusu waliotolewa kwenye payroll warudishwe kazini

kichwabox

Senior Member
Feb 14, 2016
152
40
mh.rais dr.john pombe magufuli tunakuomba uturuhusu watu waliotolewa kwenye payroll warudi kazini maana kosa sio kosa ila kurudia kosa hata sehemu zingine kuna kujisahihisha,mtu aliajiliwa karipoti ila hakuendelea na kazi basi apewe awamu nyingine aje aendelee na kazi.
 
Nenda utumishi wakupe maelekezo...kurudi kazini na cheki namba ya awali inawezekana kabisa...Cha kufanya unaomba kibali kwa katibu mkuu kiongozi then unafanyiwa vetting na ukikutwa uliondoka kazini bila kosa lolote serious watakurudisha ila lazima uwe mpole maana process hiyo inachukua sio chini ya mwaka na nusu...
Na shida nyingine kwa sasa hayo mambo yamesitishwa...subiri zuio likiondolewa..
 
Kuna
Nenda utumishi wakupe maelekezo...kurudi kazini na cheki namba ya awali inawezekana kabisa...Cha kufanya unaomba kibali kwa katibu mkuu kiongozi then unafanyiwa vetting na ukikutwa uliondoka kazini bila kosa lolote serious watakurudisha ila lazima uwe mpole maana process hiyo inachukua sio chini ya mwaka na nusu...
Na shida nyingine kwa sasa hayo mambo yamesitishwa...subiri zuio likiondolewa..
Kuna mshikaji wangu alienda had wilayani ya mkoa ambao alikua anafanyakazi since july 2015 akaandika barua halimashauri wakasay wamepeleka mkoani na ikitoka mkoani ndo iende taifani but had leo kimya kinene na mshikaji kosa ni dogo tu kusoma pasipo ruhusa but kuna mijitu mingine mitumishi inakunywa inalewa ovyo,inatembea na wanafunzi lkn mtu kuongeza elimu maafisa wanamaind ,nayo serikali iangalie bhana mtu anaongeza elimu kwa ajili ya kupanua maarifa na atawafundisha wanafunzi hao hao.
 
mh.rais dr.john pombe magufuli tunakuomba uturuhusu watu waliotolewa kwenye payroll warudi kazini maana kosa sio kosa ila kurudia kosa hata sehemu zingine kuna kujisahihisha,mtu aliajiliwa karipoti ila hakuendelea na kazi basi apewe awamu nyingine aje aendelee na kazi.

Huo ni upuuzi wa hali ya juu sana, serikali imekuamini ikakuajiri ukahudumie watanzania, mkapewa pesa za kujikimu mkaripoti kazini, mkaomba ruhusa za kurudia mizigo, mkaingia mitini, shule hazina walimu, zahanati hazina wahudumu, hilo pekee la kukimbia ni jinsi gani mmeonyesha hamna uaminifu, itakuwa ni ngumu sana kurudi, vijana wengi wanatoka vyuoni wenye moyo wa kuitumikia nchi watapewa nafasi,
 
Kuna

Kuna mshikaji wangu alienda had wilayani ya mkoa ambao alikua anafanyakazi since july 2015 akaandika barua halimashauri wakasay wamepeleka mkoani na ikitoka mkoani ndo iende taifani but had leo kimya kinene na mshikaji kosa ni dogo tu kusoma pasipo ruhusa but kuna mijitu mingine mitumishi inakunywa inalewa ovyo,inatembea na wanafunzi lkn mtu kuongeza elimu maafisa wanamaind ,nayo serikali iangalie bhana mtu anaongeza elimu kwa ajili ya kupanua maarifa na atawafundisha wanafunzi hao hao.

Suala sio kuongeza elimu, suala ni kufuata taratibu zilizowekwa, kila mtu akianza kufanya anachoona ni sahihi yeye bila taratibu kufuatwa tutafika?
 
Suala sio kuongeza elimu, suala ni kufuata taratibu zilizowekwa, kila mtu akianza kufanya anachoona ni sahihi yeye bila taratibu kufuatwa tutafika?
Sawa but compare na makosa kaka mwl anakunywa had network inakata kesho wanaingia kwa class,na wengine wakuu wantembea na wanafunzi saprimary mtu kenda kusoma,tz kuna somebody hawapendagi tu maendeleo ya watu,sasa utakuta mtu kafanya kazi miaka 3 na ruhisa kwa maafsa hawapew yeye ndo kila kitu ana mke,watoto,familia yke inamtegemea mshahara wa primary
 
mlijiona wa maana kuacha kazi goja tusote wote kitaaa unafikri wewe wa mhimu kuliko watz wote
 
Si huwa mndanganywa na vimishahara uchwara vya NGO na mashirika ya Ulaya na vimikataba vya miaka miwili. Tujifunze wote kujiajiri
 
Kuna

Kuna mshikaji wangu alienda had wilayani ya mkoa ambao alikua anafanyakazi since july 2015 akaandika barua halimashauri wakasay wamepeleka mkoani na ikitoka mkoani ndo iende taifani but had leo kimya kinene na mshikaji kosa ni dogo tu kusoma pasipo ruhusa but kuna mijitu mingine mitumishi inakunywa inalewa ovyo,inatembea na wanafunzi lkn mtu kuongeza elimu maafisa wanamaind ,nayo serikali iangalie bhana mtu anaongeza elimu kwa ajili ya kupanua maarifa na atawafundisha wanafunzi hao hao.
Mkuu hiyo niliyokwambia mimi ya kibali cha katibu mkuu unaenda moja kwa moja utumisho makao makuu...
Hiyo ya kuanzia wilayani lazima huyo alikuwa mwalimu..kilichofanyika TSD walikaa vikao vyao vya wilaya na ukiona imeenda mkoani manake TSD wilaya walipendekeza afukuzwe kazi na utumishi au kazi bila utumishi...
Kwa kuwa TSD wilaya hawana mamlaka ya kufukuza wao wanapendekeza na kutuma TSD mkoa...TSD mkoa nao wakikubali mapendekezo ya wilayani basi wanayapitisha then nao wanatuma utumishi makao makuu ili wao kama waajiri wakuu wakusurubu...
 
Back
Top Bottom