Hhahahahaha waislamu idd trump katibuaHii ni sawa kabisa Kwa maana sijawahi kusikia mfalme wa Saudia kaandaa tafrija ya Mkesha wa Krisimasi....
Walizoea vya kunyonga sasa trump ni kuchinja tu....
Ila kwa kuwa haimo kwenye katiba ya US basi hakuna utaratibu uliovunjwa
Kwa lugha nzuri ulitakiwa useme kavuja mazoea na cyo utaratibu...