Ryzen
JF-Expert Member
- Dec 6, 2012
- 7,305
- 8,651
Rais wa Marekani Bwana Donald Trump, amevunja utamaduni wa zaidi wa miaka ishirini, ameshindwa kuandaa chakula cha jioni Ikulu kuadhimisha kukamilika kwa mwezi mtukufu wa Ramadan.
Je Hili ni Katika Kuhalalisha Chuki yake Dhidhi ya Waislamu na Uislamu?
Je Hili ni Katika Kuhalalisha Chuki yake Dhidhi ya Waislamu na Uislamu?