Juuchini
JF-Expert Member
- Dec 10, 2018
- 1,923
- 2,739
Rais wa Colombia Gustavo Petro ameapa kuitetea nchi yake dhidi ya kile alichokiita vitisho kutoka kwa Rais wa Marekani Donald Trump.
Kupitia mtandao wa kijamii, Petro, ambae aliwahi kuwa mpiganaji wa msitumi, ameionya Marekani dhidi ya hatua yoyote ya ukiukaji kwa Colombia, inayofanana na ile iliyofanywa Venezuela mwishoni mwa juma.
Hii inafuatia kauli ya mwishoni mwa juma ya Trump kwamba anaweza kuchukua hatua kama ya Venezuala.
Kupitia mtandao wa kijamii, Petro, ambae aliwahi kuwa mpiganaji wa msitumi, ameionya Marekani dhidi ya hatua yoyote ya ukiukaji kwa Colombia, inayofanana na ile iliyofanywa Venezuela mwishoni mwa juma.
Hii inafuatia kauli ya mwishoni mwa juma ya Trump kwamba anaweza kuchukua hatua kama ya Venezuala.