Rais bora hawezi kutoka nje ya CCM

Rais bora hawezi kutoka nje ya CCM

Mwalimu alisema hivyo kutokana na mazingira ya wakati huo, ambayo ni historia kwa sasa. Hatuwezi kuishi Kwa historia. History only tells you where you are coming from but not where you are going.
 
FaizaFoxy leo na wewe upo kwenye Team buku 7?mbona ndani ya robo saa umeanzisha nyuzi kadhaa?
au ndio mateke ya mwisho ya farasi afaye?
 
faiza naona leo mr chin na misukule mingine wamekuachia shift FaizaFoxy
 
Last edited by a moderator:
Kwa heri ccm.mmeandaliwa makazi mapya makumbusho ya taifa.kwa heri ccm.
 
681326465510382266
 
Nyerere alisha semaaaaaa........haiwezekani rais akatoka nje ya ccm
 
Yaah ni kweli ni chama dume chenye mfumo dume...je unajua madhara ya mfumo dume? Nafikiri tuna akili zenye mawazo mgando na ushabiki...
 
CCM MAKINI NI ILE YA NYERERE TU!!! HAWA WA SASAHV NI WEZI TU WA MALI ZA UMMA NA WANAJINUFAISHA WENYEWE. Hatuwataki kwasabb wameshindwa haya:-

-Kutimiza AHADI ZAO HEWA kwa miaka zaidi ya 50.

-Kutengeneza mazingira ya Ajira kwa vijana

-Kuondoa umasikini kwasababu wananchi wana maisha magumu sana.

TUTAMCHAGUA EDWARD LOWASSA KESHO.
 
Pia nyerere alisema mabadiliko yasipopatikana ndani ya ccm wananchi watayatafuta nje ya ccm...
Na issue si lowasa issue ni ccm...wananchi walio wengi wameuchoka mfumo dume wa ccm...
So wanataka mabadiliko kupitia chama ambacho wanaamini hakina mfumo dume...
Philosophy inasema we differ in choices so usimlazimishe mtu au raia afanye kile ukitakacho wewe eti kisa wewe unakiona icho kitu ni bora...watanzania wenzangu tufanye maamuzi tunayohisi ni sahihi kutoka ndani ya mioyo yetu na si kwa ushabiki...
 
Back
Top Bottom