Orodhesha mambo Matano yanayoenda vizuri,je?yamekufaidishaje wewe,,yamemfaidishaje Yule mtoto anaeenda peku Shuleni,yamefaidishaje mfumo WA Afya nchini, kwa ujumla wake Orodhesha ni nini alichomfanyia mtz mnyonge Mpaka sasa.Tenda wema nenda zako mheshimiwa Magufuli binadamu hawana shukrani hawakumbuki Serikali ilivyokuwa taabani kwa kila kitu lakini kwa sasa mambo yanaenda vizuri kwa muda huu mfupi uliokaa madarakani.
Fedha zipo lakini kuwapa wanafunzi fedha za kujikimu ,kulipa madeni ya watumishi na kuwapa vijana ajira ni ngumu.kumtumikia mlala hoi imeshindikana!
Ushahidi unazidi kuongezeka huyu DU akili yake haiko sawa. Anataka kujenga hotel Dar wakati anasikia kuhusu mahoteli chungu nzima kufungwa na mengine kufanywa hostel. Anajua hata kinachoendelea nchini kuhusu mahoteli hadi atoe kauli ya kujenga hotels za kitalii Dar!?
nafikiri pesa za field ni mikopo ya wanafunzi na wameingia mkataba na heslb hivyo ni haki yao kisheria kabisa kupewa kwa wakati mkuuWasomi wa Leo mna ubinafsi sana. Yes mnahitaji pesa za field. But is that priority for the whole country? Mbona hujaongelea watoto wanaokaa chini bila madawati? Walimu na matabibu wanaocheleweshewa mishahara na sta hiki zao? Wagonjwa maelfu wanaokosa tiba hospitali? Jamani changamoto in nyingi. Tuamke tuache hii tabia ya business as usual.
Tunaweza kumhukumu Magufuli tupendavyo lakini the man is trying. Hili la kuhamia Dodoma lipo tangu1973! Leo tunamlaumu eti anakurupuka after 43 years!
Matatizo mengi ya watanzania yanasababishwa na kutojali na kutaka kufanya mambo kwa mazoea. We should move out of our comfort zones. Tune na mtizamo chanya. Si kila kitu in kibaya.
I support Magufuli.
Hivi kuwa pembezoni mwa bahari haiwezi pia kuwa na advantage kiusalama? Mimi pia bado sijaielewa hasa ajenda ya kuhamia Dodoma wakati huu wa utandawazi. Nyerere hoja yake ilikuwa kuwa na mji mkuu katikati ya nchi ingeweza kurahisisha maendeleo katika mikoa mingine. Katika hali ya kawaida kwa hoja ile basi Nyerere angeharakisha kupeleka makao makuu Dodoma. Lakini ninachoamini ni kwamba kwa kuwa Nyerere alikuwa kiona mbali baadaye alikuja kubaini haikuwa "big deal" kuhamia Dodoma hivyo akapiga kimya...Sasa tunataka kuanza kuhangaika kuhamia Dodoma wakati huu ambao dunia imekuwa kijiji? Haiwezi kuwa ni kuingia gharama na kuathiri uchumi wa nchi bila sababu za msingi?Miji mikuu mingi ipo pembezoni mwa bahari...!!
Aseme ajenda ya dodoma imebebwa na nini??
kiusalama makao makuu hayatakiwi kuwa pembezoni mwa bahari...ni rahisi kutekwa na adui...Kuhamia Dodoma kuna faida nyingi kiuchumi kwa mikoa ya jirani....Magufuli yuko sahihi kabisa...Hivi kuwa pembezoni mwa bahari haiwezi pia kuwa na advantage kiusalama? Mimi pia bado sijaielewa hasa ajenda ya kuhamia Dodoma wakati huu wa utandawazi. Nyerere hoja yake ilikuwa kuwa na mji mkuu katikati ya nchi ingeweza kurahisisha maendeleo katika mikoa mingine. Katika hali ya kawaida kwa hoja ile basi Nyerere angeharakisha kupeleka makao makuu Dodoma. Lakini ninachoamini ni kwamba kwa kuwa Nyerere alikuwa kiona mbali baadaye alikuja kubaini haikuwa "big deal" kuhamia Dodoma hivyo akapiga kimya...Sasa tunataka kuanza kuhangaika kuhamia Dodoma wakati huu ambao dunia imekuwa kijiji? Haiwezi kuwa ni kuingia gharama na kuathiri uchumi wa nchi bila sababu za msingi?
Baharini hakuna ulinzi? Kwahiyo anahofia kutekwa? Mikoa mingine ambayo haitakuwa jirani inatazamwaje kwenye huu mpango kama hoja ni hiyo?kiusalama makao makuu hayatakiwi kuwa pembezoni mwa bahari...ni rahisi kutekwa na adui...Kuhamia Dodoma kuna faida nyingi kiuchumi kwa mikoa ya jirani....Magufuli yuko sahihi kabisa...
Kazi yenu ni kuona mabaya tu...Orodhesha mambo Matano yanayoenda vizuri,je?yamekufaidishaje wewe,,yamemfaidishaje Yule mtoto anaeenda peku Shuleni,yamefaidishaje mfumo WA Afya nchini, kwa ujumla wake Orodhesha ni nini alichomfanyia mtz mnyonge Mpaka sasa.
Zingatia:bei ya sukari
Utitiri wa kodi
Uhaba wa Chanjo
Kukosekana kwa Ajira.