Unaijua BEI dira ya mwaka Jana?Rais kwanza angewawajibisha waliopanga bei elekezi ya chini .kama korosho zipaswa kuuzwa kwa tsh 5,000/=+ sababu gani bei elekezi iwe 1550/=.pengene angetumbua hawa ujumbe ungekua imara zaidi.
Na unajua kwa nini BEI dira inapangwa?