much know
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 7,510
- 10,292
Kwaiyo wewe ulitaka atumie lugha gani?Rais asijue bei elekezi ya korosho hadi inaanza kutumika, ila hoja yangu kuu ninahoji tangu lini rais aunge mkono mgomo wowote ule hakuwa na lugha nyingine zaidi ya kusema anaunga mkono mgomo.