Rais alimaanisha nini aliposema haya?

Rais alimaanisha nini aliposema haya?

Umkisikiliza sana jamaa unaweza kuumwa kichwa.. Mengi anaongea ilmradi kipaza sauti kipo
 
Akiwa Shinyanga tarehe 12/01/2017 mh.Raisi alisema:
"Tukitengeneza barabara za lami,watu mtaweza kutengeneza matikiti maji na kuyapeleka kuyauza Zanzibar".

Lengo la Uzi huu ni kuomba wale waliomuelewa mh.kuhusu haya maneno machache,alikuwa anamaanisha nini??

Ahsanteni.
Kama Yeye tu hajui maana ya Kila analoropoka unatuuliza sisi tutajuaje si ni kutuonea huku?
 
Akiwa Shinyanga tarehe 12/01/2017 mh.Raisi alisema:
"Tukitengeneza barabara za lami,watu mtaweza kutengeneza matikiti maji na kuyapeleka kuyauza Zanzibar".

Lengo la Uzi huu ni kuomba wale waliomuelewa mh.kuhusu haya maneno machache,alikuwa anamaanisha nini??

Ahsanteni.
Kwani anaeleweka akiongea? Urais unamtoa jasho anabwabwaja tu na kufanya vituko...hujashangaa pia sherehe za mapinduzi ya Zanzibar ye kaadhimishia usukumani? Ukisikia majina wanayomwita Wazanzibar utakaa chini!
 
Back
Top Bottom