Safari_ni_Safari JF-Expert Member Oct 5, 2007 23,268 17,099 Jun 26, 2012 #1 Si wangekaa mezani tu na akawahutubia? Dais la nini tena?
Safari_ni_Safari JF-Expert Member Oct 5, 2007 23,268 17,099 Jun 26, 2012 Thread starter #2 Halafu wanashea kiti kilekile?
Obe JF-Expert Member Dec 31, 2007 9,982 34,476 Jun 26, 2012 #3 Safari_ni_Safari said: Halafu wanashea kiti kilekile? Click to expand... Kwenye bajeti hii, tutaongeza samani. Huu udhaifu hutouona tena! Kwenye bold, sio mbaya kushea kiti na mwekezaji:dance:
Safari_ni_Safari said: Halafu wanashea kiti kilekile? Click to expand... Kwenye bajeti hii, tutaongeza samani. Huu udhaifu hutouona tena! Kwenye bold, sio mbaya kushea kiti na mwekezaji:dance:
Stroke JF-Expert Member Feb 17, 2012 34,696 40,962 Jun 26, 2012 #4 hawa jamaa nao choka mbaya sana...nilishawahi pita karibia na ubalozi wao pale mikocheni B yaani utafikiri nyumba ya mbongo wa kawaida..ndio maana hata imebidi kwa bosi kushea nao kiti maana hawana cha kutupa...
hawa jamaa nao choka mbaya sana...nilishawahi pita karibia na ubalozi wao pale mikocheni B yaani utafikiri nyumba ya mbongo wa kawaida..ndio maana hata imebidi kwa bosi kushea nao kiti maana hawana cha kutupa...
quimby_joey JF-Expert Member Nov 2, 2010 390 164 Jun 26, 2012 #5 Safari_ni_Safari said: Si wangekaa mezani tu na akawahutubia? Dais la nini tena? Click to expand... Mkuu nadhani hawajashea kiti kuna kiti hapo kulia kwa Membe kiko wazi nadhani ndo cha anayehutubia
Safari_ni_Safari said: Si wangekaa mezani tu na akawahutubia? Dais la nini tena? Click to expand... Mkuu nadhani hawajashea kiti kuna kiti hapo kulia kwa Membe kiko wazi nadhani ndo cha anayehutubia
quimby_joey JF-Expert Member Nov 2, 2010 390 164 Jun 26, 2012 #6 Safari_ni_Safari said: Halafu wanashea kiti kilekile? Click to expand... na inaonesha mpiga picha alikuwa amedhamiria kupiga meza kuu tu ila kuna waalikwa wengine, angalia anakoangalia huyu mzungu
Safari_ni_Safari said: Halafu wanashea kiti kilekile? Click to expand... na inaonesha mpiga picha alikuwa amedhamiria kupiga meza kuu tu ila kuna waalikwa wengine, angalia anakoangalia huyu mzungu
Achahasira JF-Expert Member Mar 9, 2011 1,213 214 Jun 26, 2012 #7 quimby_joey said: na inaonesha mpiga picha alikuwa amedhamiria kupiga meza kuu tu ila kuna waalikwa wengine, angalia anakoangalia huyu mzungu Click to expand... mzungu au mwarabu?
quimby_joey said: na inaonesha mpiga picha alikuwa amedhamiria kupiga meza kuu tu ila kuna waalikwa wengine, angalia anakoangalia huyu mzungu Click to expand... mzungu au mwarabu?
Ndallo JF-Expert Member Oct 1, 2010 7,619 4,292 Jun 26, 2012 #8 quimby_joey said: Mkuu nadhani hawajashea kiti kuna kiti hapo kulia kwa Membe kiko wazi nadhani ndo cha anayehutubia Click to expand... Hivi huyu jamaa anayekaaga nyuma ya JK siku zote huwa anakaaga chini saa ngapi? Kazi ya upambe ni ngumu sana.
quimby_joey said: Mkuu nadhani hawajashea kiti kuna kiti hapo kulia kwa Membe kiko wazi nadhani ndo cha anayehutubia Click to expand... Hivi huyu jamaa anayekaaga nyuma ya JK siku zote huwa anakaaga chini saa ngapi? Kazi ya upambe ni ngumu sana.
Safari_ni_Safari JF-Expert Member Oct 5, 2007 23,268 17,099 Jun 26, 2012 Thread starter #9 Ndallo said: Hivi huyu jamaa anayekaaga nyuma ya JK siku zote huwa anakaaga chini saa ngapi? Kazi ya upambe ni ngumu sana. Click to expand... Ni ngumu kwelikweli........imagine mpambe wa PEDEJEE anatakiwa amsubiri mukubwa akiingia ndani na mrembo mpaka wamalize!!
Ndallo said: Hivi huyu jamaa anayekaaga nyuma ya JK siku zote huwa anakaaga chini saa ngapi? Kazi ya upambe ni ngumu sana. Click to expand... Ni ngumu kwelikweli........imagine mpambe wa PEDEJEE anatakiwa amsubiri mukubwa akiingia ndani na mrembo mpaka wamalize!!
awp JF-Expert Member Jun 6, 2012 1,711 599 Jun 26, 2012 #10 Nasikia hadi uskiku anasimama pembeni ya kitanda