Rais akifukuzwa Uanachama wa CCM...

Huyu Kingunge anadhani Katiba ya Nchi ni Sera ya CCM. Anadhani kuwa na Katiba mpya ni sera ya CCM. Anasahau kuwa katiba ni mali ya wananchi. Anatangaza kufunga mjadala ambao hana mamlaka nao, hajui kwamba sasa ndio ameanzisha mjadala zaidi!

Sijui ni ulevi wa madaraka ama ni kauli zake za mwisho mwisho kabla hajaondolewa kwenye wizara ya "Siasa".

Hivi matokeo ya Kamati Kuu hayajamfundisha tu kwamba wakati wake umepita na kwamba kiburi cha mamlaka hakidumu milele?

Aendelee tu kulewa madaraka!

JJ
 
Jamani mi nsha sema haka ka babu tukasamehe tu bure, bure kabisa! kwanza akili ya kufikiria isha isha, yupo kwenye negative growth what do you expect from him?? yeye anacho jua ni CCM period, kwahiyo kwake kila jambo ni CCM! Na hapo alipo anaamini kabisa ilani ya CCM iko juu ya katiba!

Nadhani wa kuwashangaa ni hao wenye akili zao timamu ambao wana muamini mtu aliye kwisha fikia hatua hii ya mafikara!
 
hakyamungu hii ni hatari
lakini ujue kuwepo kwa ka-ajuza haka ktk panel ya watawala ni kuzidi kuwalisha sumu wanasiasa wachanga....

kwa nini isiwepo kampeni ya kumshauri apumzike? au wakomunisti hawalimi?? mbona mwalimu alilima maharagwe baada ya kung'atuka?
 
Halafu kilichonichanganya ni pale alipodai huku anapepesa kope zake "Itikadi ya kwanza ya Taifa letu ni ... " you'll never guess what he said....
 
Huyu Kingunge anadhani Katiba ya Nchi ni Sera ya CCM. Anadhani kuwa na Katiba mpya ni sera ya CCM. Anasahau kuwa katiba ni mali ya wananchi. Anatangaza kufunga mjadala ambao hana mamlaka nao, hajui kwamba sasa ndio ameanzisha mjadala zaidi!

Sijui ni ulevi wa madaraka ama ni kauli zake za mwisho mwisho kabla hajaondolewa kwenye wizara ya "Siasa".

Hivi matokeo ya Kamati Kuu hayajamfundisha tu kwamba wakati wake umepita na kwamba kiburi cha mamlaka hakidumu milele?

Aendelee tu kulewa madaraka!

JJ
Sasa hivi unaweza ukakaa naye mkayamaliza ufipa hapo
 
Hahaaaaa mkuu watu kwa kufukuaaa makaburiiiiiiiiiiiiiiii. Hahahaaaaa hiii duniaaa looohhh
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom