simaye
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 426
- 214
Tunalo tatizo la uongozi katika nchi yetu ya Tanzania.
Tatizo hili linatokana na viongozi kujipendekeza badala ya kupendekezwa na wananchi.
Leo tunashuhudia ombwe kubwa katika uongozi wa Taifa kwa sababu walioko sasa madarakani waliamua kujipendekeza wenyewe bila ridhaa ya wananchi walio wengi.
Tatizo la nchi yetu ni kuwa wananchi hawana msukumo wa kutaka kupendekeza aina ya mtu wanayetaka awe kiongozi wao.
Sasa kuelekea uchaguzi ujao natoa mapendekezo yafuatayo kuhusu Rais ajaye;
1. Awe ni Mtu ambaye hajaomba mwemyewe kuwa Rais.
2.Atokane na mapendekezo ya Wananchi
3. Awe na Maadili yanayokubalika.
4. Awe na maelezo yasiyo na Mashaka ya nini kinampeleka kutaka kuwa Rais wa Tanzania.
NB Ongeza Sifa nyingine unazoona zinahitajika kuelekea Urais 2015.
Tunahitaji kiongozi asiye na masihara na Taifa hili la sivyo tutaendelea kupata viongozi Walanguzi na Wahujumu uchumi wa Taifa letu.
Tatizo hili linatokana na viongozi kujipendekeza badala ya kupendekezwa na wananchi.
Leo tunashuhudia ombwe kubwa katika uongozi wa Taifa kwa sababu walioko sasa madarakani waliamua kujipendekeza wenyewe bila ridhaa ya wananchi walio wengi.
Tatizo la nchi yetu ni kuwa wananchi hawana msukumo wa kutaka kupendekeza aina ya mtu wanayetaka awe kiongozi wao.
Sasa kuelekea uchaguzi ujao natoa mapendekezo yafuatayo kuhusu Rais ajaye;
1. Awe ni Mtu ambaye hajaomba mwemyewe kuwa Rais.
2.Atokane na mapendekezo ya Wananchi
3. Awe na Maadili yanayokubalika.
4. Awe na maelezo yasiyo na Mashaka ya nini kinampeleka kutaka kuwa Rais wa Tanzania.
NB Ongeza Sifa nyingine unazoona zinahitajika kuelekea Urais 2015.
Tunahitaji kiongozi asiye na masihara na Taifa hili la sivyo tutaendelea kupata viongozi Walanguzi na Wahujumu uchumi wa Taifa letu.