Wiston Mogha
Senior Member
- Feb 13, 2014
- 168
- 141
Naomba mtaje jina aliepo kati hapo?Kati kati
Zitto kabwe.Naomba mtaje jina aliepo kati hapo?
Mkuu Hata nape Yuko katikati ya Zito na MTU mwingine, hivyo January yupo katikati ya Zito na MTU mwingine, so kulia , kushoto, katikati, ni mtazamo Tu 😂 nduguHivi Rais anakaa katikati au pembeni?
Naomba Wajuvi mnijibu…….
Picha ulioletewa ina watu watatu tu. Mbona unafeli mtihani kizembe mkuu wanguMkuu Hata nape Yuko katikati ya Zito na MTU mwingine, hivyo January yupo katikati ya Zito na MTU mwingine, so kulia , kushoto, katikati, ni mtazamo Tu 😂 ndugu
BangiHivi Rais anakaa katikati au pembeni?
Naomba Wajuvi mnijibu…….
Swali jepesi sana mkuu 😂Hakuna hata mmoja hapo
Kavu ama mbichi?Bangi
BumundaMkuu Hata nape Yuko katikati ya Zito na MTU mwingine, hivyo January yupo katikati ya Zito na MTU mwingine, so kulia , kushoto, katikati, ni mtazamo Tu 😂 ndugu
Yote mabumunda tupuHivi Rais anakaa katikati au pembeni?
Naomba Wajuvi mnijibu…….
Hivi Rais anakaa katikati au pembeni?
Naomba Wajuvi mnijibu…….
Picha imepigwa kimkakatiPicha ulioletewa ina watu watatu tu. Mbona unafeli mtihani kizembe mkuu wangu
Nap€ anaendeshwa na HamasBumunda
Ukimuamini wewe inatosha.Kigoma mna mtu mmoja tu wa kuaminika amabe ni Kafulila