wananchi wawezeshwe kuisoma katiba ya sasa ili waweze kutambua mapungu yaliyopo na ndipo washiriki kikamilifu kutoa maoni yao katika undwaji wa katiba mpya
Full usanii, kila kitu wamejazana kirafiki bila kuwa na viwango vya kufanya kazi, its 21 century wala hawashtuki wenzetu kwa sababu hii hali inawapa mwanya wa kuendelea kutanua.