MsakaGamba
JF-Expert Member
- Jun 22, 2011
- 392
- 141
Kumfikiria Lipumba ni kufikiria mapumba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimesema hivi! Kama hamtaki acheni! Lakini huo ndio ukweli!Mbinu zote za CDM tunazijua na ndio maana kwa mbinu iliyotumiwa kuingiza imani katika vichwa vyenu na kuwafanya kuwa vipofu! Mbinu mliyotumia kuiangamiza ndio mbinu itakayowamaliza kwani hata bible inasema atakaye ua kwa upanga na yeye atauawa kwa upanga! CDM imekamata wahariri wote! Hivyo CDM acheni kujipa matumaini kwani siku sionyingi CDM itaporomoka kutokana na uozo uliomo ndani!
hahahahahahaaaaaa...., imekula kwenu. huo mpango wa kuleta Muislam hautatudanganya tena watz bali tutaangalia uwezo wa mtu. Sasa mnahaha, mara rais awe mwanamke ili aje Migiro, mara rais atoke Zanzibar au awe Zitto, hatudanganyiki. Lipumba huyo ata akiend akwa Mganga wa kienyeji toka Nigeria. Alituwin jk, ana bahati nae.
nimesema hivi! Kama hamtaki acheni! Lakini huo ndio ukweli!mbinu zote za cdm tunazijua na ndio maana kwa mbinu iliyotumiwa kuingiza imani katika vichwa vyenu na kuwafanya kuwa vipofu! Mbinu mliyotumia kuiangamiza ndio mbinu itakayowamaliza kwani hata bible inasema atakaye ua kwa upanga na yeye atauawa kwa upanga! Cdm imekamata wahariri wote! Hivyo cdm acheni kujipa matumaini kwani siku sionyingi cdm itaporomoka kutokana na uozo uliomo ndani!
,Mkuu yaani katika watu waliochemka ni huyu mtu, hajiamini ndiyo maana huwa anaomba kura kupitia nyumba za ibaada,Nakumbuka aliwahi kuapishwa na kuweka mkataba na dini furani, wampigie kampeni,akipata urais awatimizie matakwa yao ya kidini. Yaani mahakama ya kadhi na Tanzania kuwa jumuiya ya kiislam.Nikifika hapa napata mashaka makubwa na uprofessor wa huyu mheshimiwa.Naona bado uko usingizini unaota njozi....yaani chama chenye mbunge mmoja huku Bara
kinawezaje kuchukua nchi? Labda atakua Rais wa Buguruni kwavile pale ndipo ilipo makao
makuu ya CUF....RIP CUF!