Raila Odinga takes CORD rallies to Ntulele, in Maasailand.

Ab-Titchaz

JF-Expert Member
Jan 30, 2008
14,631
4,225
10364142_778457812206107_4773346059791071419_n.jpg




10455307_778457822206106_7001069723470319862_n.jpg



10478662_778457818872773_2158542656498910113_n.jpg
 
Mtu anacommand umati wote huu halafu eti uniambie ameshindwa kuwa Rais wa Kenya huo ni ulongo tu...
 
Mtu anacommand umati wote huu halafu eti uniambie ameshindwa kuwa Rais wa Kenya huo ni ulongo tu...
Jamaa walichakachua zile kura kamanda mwenangu nd'o maana wanawasiwasi na hii mikutano ya huyu bwana.
 
Mtu anacommand umati wote huu halafu eti uniambie ameshindwa kuwa Rais wa Kenya huo ni ulongo tu...

Tatizo huwa wanajitokeza kwenye mikutano hivyo lakini upigaji wa kura hawapo. Ni kama tu Tanzania, mikutano ya Chadema imejaa halaiki lakini utendaji wakati wa kura CCM wanawashinda kimya kimya. Vijana wengi mjini ni domo tu na hawana hata kadi za kura, konyagi na viroba ndio zao.
 
Jubilee wasilete ubabe hapa, wawe wapole wamsikilize odinga.

Jamaa anaweza kupindua nchi hivhiv
 
mtu anacommand umati wote huu halafu eti uniambie ameshindwa kuwa rais wa kenya huo ni ulongo tu...

uhuru akushinda uchaguzi alipata kura 5.0m na raila 6.7 m kazi ya kubadilisha ikafanyika kwa amri ya kibaki na ushirikiano wa viongozi wa mataifa matatu majirani na chuki ilikuwa ni raila kuwasaidia wapinzani katika nchi zao
 
Back
Top Bottom