Raila Odinga ndani ya nyumba

Hilo ni jambo dogo tu mbona.hamuwajui wanasiasa nyie ndo mana mnaweka mada bila kujifikirisha,yamkini Kenyata mwenyewe ndo kamwambia nenda wewe pale ili kuweka utulivu kwa wananchi.inawezekana kabisa ni jambo wamelipanga ila kwa kua binadamu mnaendeshwa na mihemko bila kufikili ndo inaleta maneno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…