Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature currently requires accessing the site using the built-in Safari browser.
Raila bwana! Sera yake kubwa ni ya majimbo?
Wakenya mpeni surpport Raila.Ni mtu mwenye vision
Kenyan-Tanzanian,
Tatizo watu bwana hubadilika! Hata Kibaki in 2002 alitupa matumaini makubwa sana- sasa amebadilika. JK alipata 80% ya kua Tz 2005 naye sasa amebadilika!
Je Raila hatabadilika? A change for better or worse?
Raila bwana! Sera yake kubwa ni ya majimbo?
Raila mtu wa nguvu sana.Hii spirit yake ya kutaka radical changes ni ya ajabu.Hapa kwetu itawezekana siku moja tu
Najib Balala. Waziri wa Utalii Kenya. Najib Balala - WikipediaKenyan-Tz
Hivi Balala ulemtaja hapo ni yule Yusuf Balala wa Mombasa aliekuwa anaishi Kuwait au ndugu yake I just wanna know.
Halafu hivi ni kweli hizi allegations kuwa Kibaki ana matatizo ya kiakili (mental case) au ni mambo ya kisiasa tu