Raia wawili wa Urusi Mikononi mwa FBI pamoja na U.S Department of Justice kwa ku-operate shadow Library

Ryan Holiday

JF-Expert Member
Jul 25, 2018
1,861
3,923
Z-Library ni digital library ambayo imejipatia umaarufu wake Duniani kwa kuwa na nakala za vitabu zaidi ya 11,733,087 pamoja na Articles 84,837,643.

Z-Library pia ina aina za nakala kama Best-selling Novels, Non-Fiction Books, Academic text Books, Scholarly Journals, Magazines, Newspaper & Even proofs Books ambazo bado hazijawa published. Huku zikiwa kwenye format mbalimbali kama pdf, mobi, epub & other books format.
Screenshot_20221123-155200_1.jpg

Imeripotiwa site hii imekuwa ikitoa free-books since 2009. Huku ikiruhusu clients wake kudownload free-Books, Articles, Magazines & other document maximum 5 Per Day.
Waandishi mbalimbali wa vitabu pamoja na nakala waliomba legal action ichukuliwe against Z-Library kwa kukiuka Copyright Law pamoja na kuwaibia Writer's earnings.

November, 3-2022 watu wawili wanaosadikika kuwa ni Russian citizens walikamatwa Cordoba, Argentina. Ambao ni Anton Napolsky umri miaka 33 pamoja na Valeriia Ermakova umri miaka 27 wote wakazi wa St.Petersburg, Russia.

Wawili hao wanashitakiwa kwa makosa ya utakatishaji fedha (Money Laundering), kukiuka Copyright Law za nakala mbalimbali pamoja na kuiba writer's earnings. Huku millions of millions pirated books pamoja na Articles zikiwa downloaded for free of charge kwenye platform zao.
Screenshot_20221123-125632_1.jpg
Z-Library domain names zote zinashikiliwa na U.S Department of Justice pamoja na Federal Bureau of Investigation (FBI)
Screenshot_20221123-125022.jpg
Everything Is Temporary, Nothing Last Forever.
🏴‍☠️- No One Who Is Someone
 
Z-Library Ni digital library ambayo imejipatia umaarufu wake Duniani kwa kuwa na nakala za vitabu zaidi ya 11,733,087 pamoja na Articles 84,837,643.

Z-Library pia ina aina za nakala kama Best-selling Novels, Non-Fiction Books, Academic text Books, Scholarly Journals, Magazines, Newspaper & Even proofs Books ambazo bado hazijawa published. Huku zikiwa kwenye format mbalimbali kama pdf, mobi, epub & other books format.

Imeripotiwa site hii imekuwa ikitoa free-books since 2009. Huku ikiruhusu clients wake kudownload free-Books, Articles, Magazines & other document maximum 5 Per Day.
Waandishi mbalimbali wa vitabu pamoja na nakala waliomba legal action ichukuliwe against Z-Library kwa kukiuka Copyright Law pamoja na kuwaibia Writer's earnings.

November, 3-2022 watu wawili wanaosadikika kuwa ni Russian citizens walikamatwa Cordoba, Argentina. Ambao ni Anton Napolsky umri miaka 33 pamoja na Valeriia Ermakova umri miaka 27 wote wakazi wa St.Petersburg, Russia.

Wawili hao wanashitakiwa kwa makosa ya utakatishaji fedha (Money Laundering), kukiuka Copyright Law za nakala mbalimbali pamoja na kuiba writer's earnings. Huku millions of millions pirated books pamoja na Articles zikiwa downloaded for free of charge kwenye platform zao.
Z-Library domain names zote zinashikiliwa na U.S Department of Justice pamoja na Federal Bureau of Investigation (FBI)

Everything Is Temporary, Nothing Last Forever.
🏴‍☠️- No One Who Is Someone

At that age, these are just dreamers trying to come up digitally, siwaangalii sana kwa jicho la uhalifu.
 
Kuna scihub kule, warusi hawahawa...tunadownload papers free of charge, kiafrika imesaidia sana....wachache wanaweza kugharamia kununua......
Sikubaliani na hii, mtu aloandika Mabala the Farmer and Hawa a bus driver aliwahi kunukuliwa namna gani anavyokuwa masikini wakati vitabu vyake vinatumika mashuleni ktk mitaala ya elimu.

Mtu anapotoa jasho lake apatiwe haki yake tu hata kama sio kwa 100% au sio kama vile atakavyo ila walau kwa sehemu aipate.
 
Sikubaliani na hii, mtu aloandika Mabala the Farmer and Hawa a bus driver aliwahi kunukuliwa namna gani anavyokuwa masikini wakati vitabu vyake vinatumika mashuleni ktk mitaala ya elimu.

Mtu anapotoa jasho lake apatiwe haki yake tu hata kama sio kwa 100% au sio kama vile atakavyo ila walau kwa sehemu aipate.​
Fact 💯%
Unapotumia kitu cha mtu kujipatia ulaji lazima uzingatie copyright laws pamoja na legal actions.
Kwa wenzetu ni jambo la kawaida sana. Sema kwa developing countries tumezoea vya bure. That's why tunaishi Kwa kutegemea misaada ya kupewa na wenzetu.​
 
Kuna scihub kule, warusi hawahawa...tunadownload papers free of charge, kiafrika imesaidia sana....wachache wanaweza kugharamia kununua......
Alexandra Asanovna Elbakyan Russian citizen :born 6 November 1988) ni computer programmer na founder wa website ya Sci-Hub,ni website inayotoa free access to research papers pamoja na vitabu without regard for copyright.
Screenshot_20221124-110646_1.jpg
 
Kitambo sana.
Waandishi ni haki yao walalamike. Mimi mwenyewe ni mwandishi, niandike kitabu halafu uje upakue free of charge. Hiyo haiwezekani.
Mwenyewe nimefurahi sana. Tena wapigwe mvua nyingi za kutosha.
Kwa developing countries hauoni kwamba ni advantage kwetu pal'.
 
Sijui ntakuwa nnafanya double standard kusema

Sci-hub naikubali safi kabisa. Kwa sababu research nyingi ni publicly funded. Articles ziwe free access.

Ila vitabu mwandishi inatakiwa afaidike kiasi. Sijawahi sikia kitabu binafsi kimepatikana kwa grants na sijui nini. Mtu katumia muda wake binafsi haiwezi kuwa mali ya jamii bure tu lazima tumlipe kiasi.
 
Sijui ntakuwa nnafanya double standard kusema

Sci-hub naikubali safi kabisa. Kwa sababu research nyingi ni publicly funded. Articles ziwe free access.

Ila vitabu mwandishi inatakiwa afaidike kiasi. Sijawahi sikia kitabu binafsi kimepatikana kwa grants na sijui nini. Mtu katumia muda wake binafsi haiwezi kuwa mali ya jamii bure tu lazima tumlipe kiasi.
Tunamlipa vipi huku asilimia kubwa ya wananchi wanaishi chini ya Dolla 1 per day. Wakati kumiliki nakala ya kitabu either iwe softcopy or hardcopy inakupasa kuwa na angalau si chini ya Dolla 10 na kuendelea.

Third countries bila magumashi raia tutakufa njaa. Kwa sababu tutashindwa kuafford bei ya vitu vingi sana.
That's why ndio maana tunavaa na kutumia vitu used kutoka kwa wenzetu ikiwemo nguo, electronic devices, automobiles na bidhaa nyingine.

It's seems so simple but it's not simple as they look.​
 
Back
Top Bottom