Afadhali Polisi unaweza kuwaepuka, kukupiga hadi uingie kwenye anga zao. Ila hawa wajeda ndo hawana akili kabisa, unakuta mwenzao kapigwa/kauliwa na wengine but wao wakiitana kufanya revange hawaangalii nani muhusika, wanavamia hata wasiohusika (wenyewe wanasema wanafunga mtaa). Hawa watu mibangi inawaharibu, kwa upande wangu naona aheri police