Damu Ya Yesu
Member
- Mar 27, 2020
- 99
- 63
Hivi ni nani alikuwa mtu wa kwanza kuzaliwa hapa Tanzania/Tanganyika na kwamba ndo anapaswa kuitwa raia namba moja?
Ssfari hii wsmekuweza.Hivi ni nani alikuwa mtu wa kwanza kuzaliwa hapa Tanzania/Tanganyika na kwamba ndo anapaswa kuitwa raia namba moja?
Duh..!Ssfari hii wsmekuweza.
Usitumie tena sigara bwege unaweza kuwekewa limbwata😅
Hahahaha mkuu bora umemsaidia kiasi.Duh..!
Umemkimbiza mazima😁
Huyu inaelekea ni miongoni mwa vijana waliofunga shule akaamua naye atoe alicho nacho. Huenda pia aliuliza kwa mwalimu wake akakosa jibu.
Damu Ya Yesu , kabla ya kutaka kujua mtu wa kwanza Tanganyika, tafuta kwanza historia ya Tanganyika yenyewe na chanzo chake.
Kwa kifupi ni kwamba Afrika ilikuwa na watu tangu zama za kale(rejea binadamu wa kwanza) na ilikuwa haina mipaka unayoiona sasa bali ilikuwa na tawala ndogo ndogo za kijadi(kikabila/ukoo).
Nchi zote unazoziona sasa hivi kwenye hili bara na mipaka yake(ikiwemo Tanganyika)imewekwa na wazungu miaka ya hivi karibuni.
Hivyo kuuliza mtu wa kwanza Tanganyika sio rahisi kumjua kwa sababu wakati mipaka ya Tanganyika inawekwa kulikuwa na watu ndani.