Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 21,194
- 33,564
Wewe na mukya ndio mnagombea?Mtu ambaye hagombei anazungukwaje ?
Wewe na mukya ndio mnagombea?Mtu ambaye hagombei anazungukwaje ?
Ninasubiri kuitwa nikampigie kampeni ya nguvu yule atakayeniita !! Mara hii sio bure tena ! Nimeshajanjaruka ! Sitaki tena kujenga kwa mwenzangu na kwangu kwaporomoka !!Gazeti la Raia Mwema linaripoti kuwepo kwa Mawaziri wanaomzunguka Rais Samia..
Inasemekana kuna Mawaziri wanajipanga kwa Urais wa 2025 kwa Kusaka Pesa za kampeni Ughaibuni..
Ni vyema tukawatambua Hawa Mawaziri ni kina nani maana Alianza RC Chalamila kwa kusema kuna Wateuliwa wanatamani Kiti Cha aliyewateua..👇
View attachment 2398210
Wajinga ndio wanaweza kurundikana mtaani eti wanashangilia wanasiasa..Ninasubiri kuitwa nikampigie kampeni ya nguvu yule atakayeniita !! Mara hii sio bure tena ! Nimeshajanjaruka ! Sitaki tena kujenga kwa mwenzangu na kwangu kwaporomoka !!
Lies travel fast than the truth. !! Mmeshasahau watu wa propaganda zile za kumharibia mtu ?! Kumchafua ?!Wa kwanza kutoa taarifa ni Dr Albert Chalamila wa Kagera
Umenena! Zamani nilikuwa sijui sasa nimejanjaruka kweri kweri. !! Na kampeni zangu huwa sio za kitoto. 😅Wajinga ndio wanaweza kurundikana mtaani eti wanashangilia wanasiasa..
Bila chochote siwesi fanya huo upuuzi Mimi maana siasa ni Kazi kama Kazi zingine.
That was for real !! Naye alipelekewa tu akapasue jipu. !!Tena kaongea Kanisani
Huna hoja , kama gazeti la uhuru liliandika hagombei , wewe ni nani hadi upinge ?Wewe na mukya ndio mnagombea?
Kiafrika afrika rais anakuwa kama kakodishwa nchi katika kipindi chote cha utawala wake hufanya anavyotaka.Wote ni wale wale..., Mvinyo ni ule ule kwahio hakuna kinachobadilika hapo labda tu huo mvinyo wote umwagike..., Badala ya kutetea wellbeing ya wananchi maisha yanawapiga hatuwezi kuanza eti kumtetea Rais hazijeondolewa / asiwe kuondolowe uchaguzi ujao (kwani yeye ana hati miliki hapo)?
Watu wako serious lakini wanachukuliwa poa. Naona joto linazidi kuongezeka.Gazeti la Raia Mwema linaripoti kuwepo kwa Mawaziri wanaomzunguka Rais Samia..
Inasemekana kuna Mawaziri wanajipanga kwa Urais wa 2025 kwa Kusaka Pesa za kampeni Ughaibuni..
Ni vyema tukawatambua Hawa Mawaziri ni kina nani maana Alianza RC Chalamila kwa kusema kuna Wateuliwa wanatamani Kiti Cha aliyewateua..👇
View attachment 2398210
Duh !!Kiafrika afrika rais anakuwa kama kakodishwa nchi katika kipindi chote cha utawala wake hufanya anavyotaka.
AC alipata yellow sticker. Yeye alisoma pale juu tu. Upande usikuwa na gundi.Chalamila hakuongea kwa bahati mbaya.... kuungolea urais bila ruksa ya wakubwa ni risky. Anyways, between now and 2025, damu zitamwagika.
ndiyo maana amewasogeza ili awanyonge vizuri...ni suala la muda tuNgoja nimsaidie mama kumtajia wabaya wake
1.January Makamba
2.Mwigulu Nchemba
3.Nape Nauye
Ndio iko hivyo.Duh !!
Gazeti la kuandika taarifa za kufikirika .Taarifa za udaku.Mwandishi wake ndugu Kubenea ana elimu ya hapa na pale tu.Mzee Ulimwengu yeye anaongea baada ya kulewa.Watanzania wanapenda hafidhi tupu.Hawapendi kufikiria vitu vya kweli na halisi.Gazeti la Raia Mwema linaripoti kuwepo kwa Mawaziri wanaomzunguka Rais Samia..
Inasemekana kuna Mawaziri wanajipanga kwa Urais wa 2025 kwa Kusaka Pesa za kampeni Ughaibuni..
Ni vyema tukawatambua Hawa Mawaziri ni kina nani maana Alianza RC Chalamila kwa kusema kuna Wateuliwa wanatamani Kiti Cha aliyewateua..👇
View attachment 2398210
Lowassa na hayati mr Abel (maarufu kwa bongofleva ya kimasai) walwekewa mikono na TB na wote hawakufanikiwaDr Mwigullu Nchemba aliwekewa mikono na mtume TB Joshua
Duh,Ngoja nimsaidie mama kumtajia wabaya wake
1.January Makamba
2.Mwigulu Nchemba
3.Nape Nauye
Kwa jinsitunavyopigwa kwenye vifurushi na vocha kwa huyo nape ninamashaka makubwa sana ukiingiza vocha 100 hakuna vifurushi vinaisha kama unavyochoma karatasi mungu anamuonaNgoja nimsaidie mama kumtajia wabaya wake
1.January Makamba
2.Mwigulu Nchemba
3.Nape Nauye
Dr Mwigullu Nchemba aliwekewa mikono na mtume TB Joshua
Kwani ni dhambi kwa waziri kuutaka URAIS??,Gazeti la Raia Mwema linaripoti kuwepo kwa Mawaziri wanaomzunguka Rais Samia..
Inasemekana kuna Mawaziri wanajipanga kwa Urais wa 2025 kwa Kusaka Pesa za kampeni Ughaibuni..
Ni vyema tukawatambua Hawa Mawaziri ni kina nani maana Alianza RC Chalamila kwa kusema kuna Wateuliwa wanatamani Kiti Cha aliyewateua.
View attachment 2398210