Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 18,289
- 27,405
Hili la kikabila linaongozwa na Asenga,Kileo,Lema na Mbowe mwenyewe huku kamanda mtiifu wa wa Mbowe bwana Mrema akiwa kiranja wa ukabila pale makao makuu ya chamaNi kweli
Kundi moja linabebwa na ukabila na lile lingine linabebwa na Uzalendo
Nimekumbuka maneno ya Zitto- mkiniua kwenu hatabaki hata panya, sijui hao walio upande unaopingana na Mwenyekiti aliyetumia mabilioni wana kimzizi kana cha ZittoGazeti la raia mwema limeandika kuwa chadema Kunafukuta. Kuna makundi mawili ya mbowe na Lissu. Ni mafahali wawili ndani ya zizi moja...
Inakuwaga hivyo hivyo bwashee!Ni kweli ndugu mwandishi, naona hapa ndipo wanapoyapanga hayo makundi ya 2025.
😂 Hao hawawezi wakagombana kwa sababu wote wanajitambua vizuri sana !Ni kweli ndugu mwandishi, naona hapa ndipo wanapoyapanga hayo makundi ya 2025.
Endelea kukariri😂 Hao hawawezi wakagombana kwa sababu wote wanajitambua vizuri sana !
😂. Kweli nakumbuka lakini pale mmoja alikuwa ni mswahili wa mjini na mwenzie alikuwa ni wa Duka bovu AR ! Akazidiwa ujanja !Endelea kukariri
Unawakumbuka Boys II Men?
Sasa hivi mamilioni ya Mbowe hayahitajiki kwa Tundu Lissu, tayari amepata kamradi kake pale Ubeljiji amabacho kinamuingizia pesa ya kutosha. Kumbuka hata ile helikopta aliyotumia kwenye uchaguzi 2020 haikutokana na pesa za CHADEMA.Nimekumbuka maneno ya Zitto- mkiniua kwenu hatabaki hata panya, sijui hao walio upande unaopingana na Mwenyekiti aliyetumia mabilioni wana kimzizi kana cha Zitto
Kuna shinikizo Mbowe asistaafu Uenyekiti ili akamilishe Maridhiano 2025Mmoja ameshasema anastaafu mwaka huu, mwingine bado yupo kwenye uongozi wa chama,.sioni kwa vipi hao jamaa wawili wanaweza kuwa kwenye mgogoro.
Hata kama ni sababu ya makundi/kambi za uchaguzi, bado Lissu hajasema kama atagombea nafasi yoyote, sasa iweje uwepo mgogoro hapo?
Duh.Hili la kikabila linaongozwa na Asenga,Kileo,Lema na Mbowe mwenyewe huku kamanda mtiifu wa wa Mbowe bwana Mrema akiwa kiranja wa ukabila pale makao makuu ya chama
Lissu lazima agombee urais 2025 hata kama CHADEMA wakitangaza kujitoa kwa sababu yoyote ile. Kugombea urais kwa Lissu ni mradi wenye tija sana hata akiwa na uhakika kuwa hatashinda.Mmoja ameshasema anastaafu mwaka huu, mwingine bado yupo kwenye uongozi wa chama,.sioni kwa vipi hao jamaa wawili wanaweza kuwa kwenye mgogoro.
Hata kama ni sababu ya makundi/kambi za uchaguzi, bado Lissu hajasema kama atagombea nafasi yoyote, sasa iweje uwepo mgogoro hapo?
kwani waasisi wa chama hawafahamiki?Gazeti la raia mwema limeandika kuwa chadema Kunafukuta. Kuna makundi mawili ya mbowe na Lissu. Ni mafahali wawili ndani ya zizi moja.
Nimewahi kusema hili suala lakini nikaishia kutukanwa, Leo gazeti la raia mwema wameweka wazi kila kitu.
Huu mgogoro uliopo utaisha kwa mpasuko mkubwa sana ambao utaenda kukipasua kabisa chama. Yite haya inasemekana ni Vita ya uongozi kuelekea 2025.
View attachment 2502268
Hili la kikabila linaongozwa na Asenga,Kileo,Lema na Mbowe mwenyewe huku kamanda mtiifu wa wa Mbowe bwana Mrema akiwa kiranja wa ukabila pale makao makuu ya chama
Gazeti la raia mwema limeandika kuwa chadema Kunafukuta. Kuna makundi mawili ya mbowe na Lissu. Ni mafahali wawili ndani ya zizi moja.
Nimewahi kusema hili suala lakini nikaishia kutukanwa, Leo gazeti la raia mwema wameweka wazi kila kitu.
Huu mgogoro uliopo utaisha kwa mpasuko mkubwa sana ambao utaenda kukipasua kabisa chama. Yite haya inasemekana ni Vita ya uongozi kuelekea 2025.
View attachment 2502268
Hapo ndio utajua kwamba tunacwanasiasa maslahi waliopitiliza nchi hii!