Ghiti Milimo
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 4,344
- 6,403
Sikutegemea huyu Rais wetu kuwa karibu saaaanaaa na yule Mange Kimambi!Nazidi kuamini..ssh aliishi kinafiki na jpm..ilikua ni suala la muda tu kuonyesha rangi yake halisi..hizi siasa za bongo inabidi uwe pungua ndio uziishi.
#MaendeleoHayanaChama
Sidhani kama Duniani hapa, kuna zaidi yao hawa watu wawili, Mange na Kigogo waliokuwa wanaporomosha matusi kwa JPM, na Serikali yake. Leo hii, amekuwa mtu wao!