Zaidi ya raia mia nane wengi wao wakiwa ni watoto na wanawake kutoka nchi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wameingia nchini katika wilaya ya Buhigwe mkoani Kigoma kuomba hifadhi ya ukimbizi wakidai kukimbia vita ya wenyewe kwa wenyewe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.